Hyo haiwezekan mkuu, pambana nae huko huko kwan mfumo haukubal hapo, huwez kumtoa mtoto private ukampeleka serikalin ila una uwezo wa kumtoa serikalin kwenda private. Ingekuwa yupo primary mfumo unakubal kote kote
Madem wazur wapo weng sana hapa tz kuliko unavyofikiria ww. Sema tu sio wote wanapost kweny mitandao na wengne wazur sana sema hali za kiuchumi zimebana
Hizo mambo Mm nimefanya Sana Kama kwa mademu watatu ni story ndefu Sana na watu wengine wanaweza hisi ni uongo bt hivi vitu vipooo, in short kuna mdada nafanya naye kaz staff moja sio mzur Sana Ila ni mapepe Sana na story Zake anajifanya mataw ya Juu Sana.Siku moja nikafungue account fake fb...
Kiukwel tumekuwa mazezeta sana sisi watz, ni waoga kupitiliza na tunasubir MTU mwingnne azungumzie matatizo yetu ili hali sisi wenyewe tumekaa kimyaaaa tunalalamika chini chini eti serikal haitundendei haki, ndio acha ifanye hivyo coz inajua watu wake no waoga na dhaifu. JAMBO LA MSINGI HAPA...
Wachaga kweny uchezaji wa Mpira Ni ngumu kuwapata, kuna story niliwah kusikia Etiiii zaman Wachaga walikuwa wanacheza sana Mpira. Siku moja wakawa wanacheza na Timu kubwa Kwel sasa masawe akawa amewapiga chenga walinzi wa Timu pinzani jamaa akabaki na kipa peke yake, kuchek jukwaaan akaona nyomi...
No body perfect Mkuu, kila utakayekutana lazma tu atakuwa na mapungufu yake. Unaweza tafuta mwngne yy ndo akawa kimeo zaid ya huyo as long as ni mambo yaliyopita mm sion tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.