Duh!!! Ulipotoka home kwako ulikua na hiyo bajeti ya kukutana na huyo x na mwanaye kweli ? Mpk umetumia pesa zote hizo kumwonesha tu kua unazo!!! Aisee !
Pole sana kaka, ila sijajua wewe ni mwanaume wa aina gani mpk umruhusu mkeo eti anacheck movie kwa jamaa tu na wewe umekausha,
Na pili inaonekana anakuchukulia poa na hiyo tabia uliifuga wewe? Km kwako kuna tv kwann hizo movie asiziangalizie ndani kwake ? Kwa jamaa wewe ulimtengenezea chance so...
Wangu atachapwa na ikibidi mm niongezee,
Kwani akichapwa anapatwa na nn? So unataka kuprove kwa mwanao kua wewe ni mwema hata anapokua amekosea?
Utampoteza ukimtetea,
Lakini pia ukijaribu kuzuia asiadhibiwe mbele yako utawafanya waalimu wampe psychological torture ,
Hata akikosea next time...
Wanaume wapunguze kua busy mkuu hizi kesi ndogo ndogo hazitakuepo,
Mwingine anahamishia na kazi za ofisini nyumbani kabisaa, amefanya kazi more than 8 hrs huko ofisini then anakuja na home package tena,!!!
Halafu mkisaidiwa majukumu mnalalamika,
NB: siyo wanaume wote wake zao wana sababu za...
Mwambie ukweli mkuu,
Ni kweli ukweli unauma a unajenga sana kwa atakayeuzingatia
Huna haja ya kumficha huyo ni mkeo
Let her know the truth kua anakukera anaposhindwa kua msafi,
Mtoto apewe mahitahitaji ya lazima si kila analohitaji, km halina ulazima na halitaathiri maendeleo yake siwezi kumpa,
Mfano, eti nikisonga ugali dagaa nyumbani kwangu km chakula cha familia nzima halafu mtoto aseme yeye anataka wali,
Hicho kitu asahau, may be km kuna sababu za kiafya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.