Recent content by tumbayz

  1. tumbayz

    Nilimwambia nakuona wewe ni mke wangu mtarajiwa, akanijibu eti anajua huwa tunataniana

    Hajataka kujiachia kwako huyo kwa kuepuka kuumizwa huenda anakupenda ila anazuia kujiachia akihisi wewe ni km wengine waliowahi kumcheat.
  2. tumbayz

    Nilichomfanya X wangu sijui huko alipo atakuwa anajisikaje

    Duh!!! Ulipotoka home kwako ulikua na hiyo bajeti ya kukutana na huyo x na mwanaye kweli ? Mpk umetumia pesa zote hizo kumwonesha tu kua unazo!!! Aisee !
  3. tumbayz

    Jamaa nimemsamehe kwa ukweli wake mchungu. Mke wangu simuelewi

    Pole sana kaka, ila sijajua wewe ni mwanaume wa aina gani mpk umruhusu mkeo eti anacheck movie kwa jamaa tu na wewe umekausha, Na pili inaonekana anakuchukulia poa na hiyo tabia uliifuga wewe? Km kwako kuna tv kwann hizo movie asiziangalizie ndani kwake ? Kwa jamaa wewe ulimtengenezea chance so...
  4. tumbayz

    Je, ni sahihi mwanao kuadhibiwa shuleni mbele yako?

    Wangu atachapwa na ikibidi mm niongezee, Kwani akichapwa anapatwa na nn? So unataka kuprove kwa mwanao kua wewe ni mwema hata anapokua amekosea? Utampoteza ukimtetea, Lakini pia ukijaribu kuzuia asiadhibiwe mbele yako utawafanya waalimu wampe psychological torture , Hata akikosea next time...
  5. tumbayz

    Naombeni ushauri mpenzi wangu amepotea hewani

    Pole mkuu, Basi buana, Weka roho yako mahali baridi , acha kuteseka, huenda siyo riziki yako
  6. tumbayz

    Naombeni ushauri mpenzi wangu amepotea hewani

    Okay,, ulimwambia lakini kua hukua na pesa wakati huo? Inawezekana hukumtaarifu so mwenzio kaamua kununa kimya kimya mkuu,
  7. tumbayz

    Pozi za kishamba

    Napo ni ushamba mtupu, Kuwaonesha watu kua leo ulikua jengo flanj lenye gorofa,, Hahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  8. tumbayz

    Wanawake acheni kujidhalilisha

    Wanaume wapunguze kua busy mkuu hizi kesi ndogo ndogo hazitakuepo, Mwingine anahamishia na kazi za ofisini nyumbani kabisaa, amefanya kazi more than 8 hrs huko ofisini then anakuja na home package tena,!!! Halafu mkisaidiwa majukumu mnalalamika, NB: siyo wanaume wote wake zao wana sababu za...
  9. tumbayz

    Naombeni ushauri wa jinsi ya kumfikishia ujumbe Mke Wangu bila kuumiza moyo wake

    Mwambie ukweli mkuu, Ni kweli ukweli unauma a unajenga sana kwa atakayeuzingatia Huna haja ya kumficha huyo ni mkeo Let her know the truth kua anakukera anaposhindwa kua msafi,
  10. tumbayz

    Naombeni ushauri mpenzi wangu amepotea hewani

    Kwani pesa ya kioo cha cm ulituma mkuu? Sasa cm itatengamaa vp?? Jiongeze boss!
  11. tumbayz

    Mzazi kumpa mtoto chochote anachokitaka ni sawa na kumharibu?

    Mtoto apewe mahitahitaji ya lazima si kila analohitaji, km halina ulazima na halitaathiri maendeleo yake siwezi kumpa, Mfano, eti nikisonga ugali dagaa nyumbani kwangu km chakula cha familia nzima halafu mtoto aseme yeye anataka wali, Hicho kitu asahau, may be km kuna sababu za kiafya...
  12. tumbayz

    Kabla hujaoa hakikisha unampigisha mwenzi wako Volunteer Program

    Duh!!!! Hii siiamini kabisaa mkuu kweli siku 2 thats 48 hrs mtu haogi wala kusafisha kinywa? Teteteteteeehh!!!!
  13. tumbayz

    Wanawake acheni kujidhalilisha

    Umeongea facts mkuu, Penzi siyo pesa, anakosa kumfikisha panapo na h/ boy anayaweza mambo, Ni hayo tu,[emoji380]
Back
Top Bottom