makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,398
- 4,681
- Thread starter
- #361
Mkuuu shukrani Sana.Kwanza kabisa nikupe pole mkuu kisha
Nikushauri mtafute Mama yake umweleze kisha ukaushe kwenda mahakamani kwa ajili ya ushahidi sio kitu chema ila kwenda kwa wazazi wake na kumshtakia inamatter sana na huyu hiyo ni tabia yake
Tabia haina dawa kaka amini
Ila ukifikisha kwa Wazazi wake watalifanyia kazi jap matunda yake yanaweza kuaa madogo sana ila utakuwa umeepusha pia vitu vingi