ANTHONY MICHAEL
Member
- Aug 27, 2013
- 26
- 11
- Thread starter
- #41
Dah, Kwa iyo mm ni reserve player ??
Dah, Kwa iyo mm ni reserve player ??
NdioooDah, Kwa iyo mm ni reserve player ??
Okay,, ulimwambia lakini kua hukua na pesa wakati huo?Sikutuma Kwa kua sikuwa nayo kpnd ameniomba
Nilimwambia kbisa na akanielewa maana siku 4 nyuma pia kuna pesa nilimpa ya kujikimu. Ila ndio ivyo.....Okay,, ulimwambia lakini kua hukua na pesa wakati huo?
Inawezekana hukumtaarifu so mwenzio kaamua kununa kimya kimya mkuu,
😂😂😂Mkuu umenifurahishaAlipo kuna ukungu
Ndio hivyo mkuu,jamaa ni mzito sana kujiongeza anaonyeshwa lugha ya picha kuwa hatakiwi yeye haelewi anakuja kuanzisha uzi hapa.unataka mpaka Yesu aje akwambie hutakiwi ndo uelewe ?
tambua kama hana muda na wewe ujuwe kuna mtu ana muda nae
labda kafungua tawi jipya kwa shangazi
Nilimwambia kbisa na akanielewa maana siku 4 nyuma pia kuna pesa nilimpa ya kujikimu. Ila ndio ivyo.....
Kila single maza kapitia kwa shangazimimi sichoki kuwakumbusha kila siku jaman single mothers hatunaga hayo mambo ooh hoo
Shukrani mkuu, Kwa mchango wa mawazo yko 🙏🙏Pole mkuu,
Basi buana,
Weka roho yako mahali baridi , acha kuteseka, huenda siyo riziki yako
Shukrani, nimekuelewaNdio hivyo mkuu,jamaa ni mzito sana kujiongeza anaonyeshwa lugha ya picha kuwa hatakiwi yeye haelewi anakuja kuanzisha uzi hapa.
Kiufupi huyo demu hakutaki ila anakulia timing tu akulie hela zako halafu mwisho wa siku ukigundua analiwa na mwingine na ukaumia moyo shauri yako yeye hawazi.
Shukrani mdauPole sana mkuu.
😂😂😂😂 Nimekuelewa shukraniIvi nyie viben ten ni lini mtakubali kutafuta ela muwe nayo nyingi ya kuwanunulia simu wanapolalamika simu mbovu? Sio siri mnakela sana ebu katafute ela akisema simu mbovu nunua smartphone mpelekee uone kama atapata kiburi cha kupotea hewani
👀🤔🤔🤔Na wewe potea ardhini
Nimekupata mkuu 💪💪mzee tafuta pesa.
pili tofautisha mapenzi na matamanio.
unasema mwanzo mlipendana sana sio kweli? wewe ulitamani mwili mwenzako alitamani pesa upendo unachukua muda sana kutengenezwa mwezi moja hautoshi kusema mnapendana sana