Naombeni ushauri mpenzi wangu amepotea hewani

Naombeni ushauri mpenzi wangu amepotea hewani

😂 😂 Wewe week moja tu? Mimi niliagwa anaenda Tanga kumsaidia shangazi yake na ujauzito ni mwaka wa tatu huu bado hajafika na wala hajulikani alipo pia text whatsapp zinagongwa blueticks tu. Move on bruh
 
😂 😂 Wewe week moja tu? Mimi niliagwa anaenda Tanga kumsaidia shangazi yake na ujauzito ni mwaka wa tatu huu bado hajafika na wala hajulikani alipo pia text whatsapp zinagongwa blueticks tu. Move on bruh
Shukrani bro, Kwa ushauri
 
Wewe Huyo achana nae haraka sana, ati Siku 4 bila mawasiliano? Kwani huko kwa Shangazi yake aliko nenda cha wana simu aazime akujulishe kinachoendelea?

Yupo kwa Shangazi yake ( Mme mwenzio), shenzi zake asizibie wenzie nafasi, embu Fanya kumpigia ireen yule ulomwombaga no, lakini roho ulikuwa inakusuta kumsalit mpenzi wako.

Trust me mpenzi wako yupo kwa mpenzi wake.
Hahahahhahaah Wajuba mnatisha kama......
 
Hayo yalinikutaga kwa Joan. Sitasahau alinisumbua sana. But now niko fresh. Nilionana naye last week Mlimani city akanambia ni utoto ndio ulikuwa unamsumbua.
Duh, pole Kiongozi haya mambo n wengi yametukumba ila maisha lazima yaendelee 💪💪
 
Wewe Huyo achana nae haraka sana, ati Siku 4 bila mawasiliano? Kwani huko kwa Shangazi yake aliko nenda cha wana simu aazime akujulishe kinachoendelea?

Yupo kwa Shangazi yake ( Mme mwenzio), shenzi zake asizibie wenzie nafasi, embu Fanya kumpigia ireen yule ulomwombaga no, lakini roho ulikuwa inakusuta kumsalit mpenzi wako.

Trust me mpenzi wako yupo kwa mpenzi wake.
 
Simu mbovu ameshakwambia hukumtengenezea....sasa kama kuna jamaa mwingine kamtengenezea atakuwa amekublock au amebaili namba kabisa ...kwa hiyo hapo kuwa mpole hauna chako
 
Simu mbovu ameshakwambia hukumtengenezea....sasa kama kuna jamaa mwingine kamtengenezea atakuwa amekublock au amebaili namba kabisa ...kwa hiyo hapo kuwa mpole hauna chako
[/QUOTE
Nami nahic ivyo japo sitaki kujiridhisha 100%. Acha nianze kuzoea Maisha mapya hakuna namna
 
mimi sichoki kuwakumbusha kila siku jaman single mothers hatunaga hayo mambo ooh hoo
hata mi huwa nasema humu.singo mama mnawakataa mnaoa wasio na watoto siku mkipata watoto wa5 wote sio wako.
 
Mpe muda atarudi tuu,ila uwe unajua kabisa wewe ni wa ziada tu
 
Back
Top Bottom