TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 727
Katika zoote hii ndio FACT sasa.Ashikilie hapa ndio penye ukwelWw ni Mtoto sana kwenye mapenzi. Haujui waDada hawapendi hivyo unavyofanya? Kujipendekeza kila siku. Na huyo LAZIMA ATAKUUMIZA TU. Sasa is too late kubadilisha mfumo. Ulishaanza vibaya. Ataolewa na mwingine. Au atapigwa mimba na mwingine. Yani ww atakulia tu hela yako if anything.