Mimi ninakovu mguuni niliungua nilitoka kwa jirani kuokoa moto asa ile nimeweka kwenye kuni nataka niiname nipulize kumbe nikapiga goti kwenye kibati cha moto duuh niliungua week nzima sikwenda shule enzi hizo darasa la nne
Tumepata message mtu akiniambia naomba nionane na ww unaweza kuja kwangu ninamaongez nitakuwa nasema tukutanie pale kanisani nje kuna majani mazur ya kukaa
True love doesn't count,na hautokaa umsahau coz unampenda sana na unafeel guilty kumuacha na saiz unaona bora yule wa elimu ndogo ungeweza kumcontrol kuliko wa elimu kubwa anakucontrol
Ni kweli kabisa pesa inaweza kununua vitu vingi ila sio furaha aisee na matajir wengi they are stressed ndo mana wengine wanaishia kunywa pombe sana au kutumia drugs ili mradi tu ease up the stress level
Hauwez kumwambia direct ila chukua namba yake ya cm hata kwa mtu wa karibu yake then umpigie umuulizie kitu chochote cha mtaani kwenu,wanaume ni wepesi kunotice so atajua tu
Struggle to change the future and not the past coz past is already gone and not coming back hata wakisema waandike vitabu upya wawa recognise na waislam hamna mtu atakaesoma na kila mtu ataona its fake why now mlikuwa wapi cku zote,matatizo ni mengi nchi hii na kasoro ktk kila jamii hazikosekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.