Hiyo tisa, kumi ni pale hata Bunge la Jamhuri linatunga sheria fulani leo muda kidogo hata utekelezaji wake bado haujaanza wanatuletea mapendekezo ya amendment for article X, section Y. Nyingi tu hizi . Hivyo ndivyo tulivyo unapokosa watu makini ktk uongozi.
Kwenye spidi ya internet, aina ya vifurushi na muda vinapotolewa, T-pesa upatikanaji, coverage ya mtandao na mengine mengi soma kwa wenzangu. Nilidhani mgekwenda hadi vijijini mwisho, ikiwezekana hata mtu akiwa porini , mbungani mtusaidie tusipoteze network.
Huwa nasikitika sana nikiiona TTCL inafanya mambo kama simba mzee. Enzi hizo posta na simu ilikuwa kampuni kubwa sana ikimiliki miundo mbinu ya posta na mawasiliano ya simu. Nilitegemea TTCL awe na ndio namba 1 kwa huduma ya mtandao ulio na kasi zaidi kuliko kampuni yoyote na pia POSTA awe ndio...
Ku observe ni tofauti na ukiachiwa mtu kwenye meza ya upasuaji. Pia ku butcher ni tofauti na ku dissect kwa uangalifu. Kweli kadava hazina damu ila nilichokuwa namaanisha hapa ni kuwa jasiri wa kuona kadava na kuifanyia kazi. Hao AMO na nurses wanaweza kuwa na uzoefu kwa kuwa wamekaa hospital...
Kwanza kuona MTU aliyekufa (cadaver) kisha ukastahimili Taswira na hata kumsogelea na kumshika ni somo tosha. Wengine akiona hivyo tu saa hiyo hiyo anakwenda kuchukua begi. Usinilize anakwenda wapi..... Pili ule uwezo wa kuona damu inamwagika na pia kumkata au dissect japo ni mfu na kuvumilia...
Kama tafiti ya kisayansi kweli imefanyika na kutengeneza mwongozo inakuweje SP itumike miaka 4 tu iwe haifai, Amodiaquine pia ikae muda mfupi tu nayo ishindwe kutibu, Utafiti gani huo? Who is WHO? Nilipata kusikia (No reference) kuwa kuna mtu alifanya utafiti akagundua Chloroquine haitibu tena...
Nadhani dawa ya malaria kuwa official au sio official ni siasa. Dawa inayokutibu na kuondoa vimelea vya malaria ndio dawa official kwako. Kwa hiyo inaklazimu ujue dawa ambayo ni tiba kwako.
Papuchi huwa zina mabacteria, fungus, virus hata minyoo. Ukipenda sana huko utaondoka na kansa ya koo kama mwana senema fulani. Huyo ndg atakuwa alipata infection ya bacteria au virus. Hawa hutoa sumu kali wakati mwingine ndio kupelekea kuhara na magonjwa mengine yasiyotibika na kansa. Ni hatari...
Tafuta Albendazole haraka. Tatizo watu wazima huwa hawana tabia ya kunywa dawa ya minyoo, If you sleep with itchy anus you will wake up with smelly finger
Kila mwaka mahujaji kadhaa hufa kwa kukanyagana wanapokuwa Saud Arabia kwa hija. Mwaka huu vifo vya watu 107 vilitokea kwa kuangukiwa na crane wiki chache zilizopita, na leo Alhamisi wengine 717 wamekufa na kuwaacha mamia wakiwa majaruhi kutokana na kukanyagana walipokuwa wakitupia vijiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.