Recent content by tufe

  1. T

    CHADEMA, acheni matumaini hewa kushinda uchaguzi wa madiwani marudio.

    CHADEMA WANAPASWA KUWA NA MIKAKATI MIPYA KWENYE UCHAGUZI HUU.KWA KWELI HAWA JAMAA WAMEKALIA VIBAYA SANA.
  2. T

    Maalim Seif ana machaguo mawili tu kuinusuru CUF na anguko la kudumu

    Maalim SEIF ashinde Mara ngapi Zanzibar?!! Kwasababu kila uchaguzi mkuu amekuwa akishinda wazi wazi na kila mtu anaona lakini hakabidhiwi serikali kuiongoza.
  3. T

    Wapinzani acheni kumlilia Rais njaa, tafuteni suluhisho

    Kwani Tanzania kuna Njaa?!! Nani katangaza?
  4. T

    Dar kuwa ngome ya upinzani baada ya uchaguzi mkuu 2015

    Kutokana na ugumu wa maisha unavyowapiga wanadarsalama ninasema tena kwa kujiamini kabisa yakwamba pamoja na hila zote wanazofanya ccm hivi sasa lakini 2020 hawatapata jimbo hata moja ndani ya Dar,hata moja!! TUOMBENI UHAI TU!!
  5. T

    Nisaidieni jamani ni mjibu ustadhi wangu

    Ala! kumbe kitimoto inapunguza nguvu za kiume
  6. T

    Jiji Kuongozwa na Ukawa, Je, Kuna Unafuu Wowote Tofauti na Lilivyokuwa Chini Ya CCM.

    MUMEPORA MAMLAKA YOOTE YA SERIKALI ZA MITAA NA KUPELEKA SERIKALI IKIWEMO VYANZO VYOOTE VYA MAPATO.KAZI AMBAZO ZILIPASWA KUFANYWA NA MEYA MKUU WA MKOA ANAZIFANYA YEYE HALAFU UNAKUJA HAPA UNAULIZIA MABADILIKO??! KWA TAARIFA YENU KAMA LENGO LENU NI KUDHOOFISHA UKAWA BASI MJUE IMEKULA KWENU KWANI...
  7. T

    Hussein Bashe ameongozwa na chuki dhidi ya rais Magufuli na Serikali yake

    Kuhusu ugumu WA maisha hilo halihitaji utafiti kila MTU anaisoma number.
  8. T

    Nini kimesababisha CHADEMA wajitenge na UKAWA?

    Mtasubiri saaaana na bado. UKAWA NDIO KIAMA CHENU!!
  9. T

    Zitto Kabwe anapaswa kushtakiwa kutokana na ufisadi huu wa NSSF

    Kwani kipindi hicho yanafanyika hayo mambo hakukuwa name serikali?!! Kwanini mnaanza kulialia Leo au kwasababu amewachoma ndipo?!!
  10. T

    Ethiopia wazidi kuchanja mbuga

    mmmmmh!!!!
  11. T

    WanaChadema wanaendesha kampeni katika mitandao ya WhatsApp Magufuli ashindwe tuzo ya FORBES 2016

    Watu wanahangaika na maisha huku chini kwani maisha yamekuwa magumu sana. Hayo mambo ya Forbes watz hawana mpango nayo.
  12. T

    Ka hili vyama vya upinzani vimeshindwa, Mungu anatupenda.

    SIJUI UMEKULA MAHARAGE YA TABORA?! TEH TEH!! POROJO TUPU. HIVI UNAJUA KWAMBA BILA YA UPINZANI HUO AMBAO UNAUKANDIA USINGELISUBUTA HATA KUANDIKA HIZI POROJO ZAKO?! NYANG'AU MKUBWA WE!!!!
  13. T

    Kwani NEC imeshatangaza kuanza chaguzi za 2020?

    Paragraph yako ya mwisho ndio jawabu ya porojo lako looote.NAAAM KABISA MPAKA WAPINZANI WAKAMATE NCHI NDIO MAENDELEO YAANZE KUONEKANA.
  14. T

    Tujifunge mkanda dhidi ya nchi za Magharibi

    Mwaka huu mtajifunga mpaka nyuzi za viroba.
Back
Top Bottom