Habari kwenu wanajukwaa,
Katika nchi nyingi hususani katika bara la Africa ambazo zimebadilisha utawala kutoka chama tawala kwenda chama cha upinzani basi vuguvugu la mabadiliko hayo huwa yameanzia katika miji mikuu ya nchi hizo kuelekea vijijini mfano Zambia yalianzia Lusaka kuelekea vijijini,Malawi yalianzia Blantyre kuelekea vijijini,Kenya yalianzia Nairobi kuelekea vijijini. Lakini hali ni tofauti kwa Tanzania.
Nchini Tanzania vuguvugu la mabadiliko limejikita zaidi katika miji ya kati kama vile ARUSHA CITY,MBEYA CITY,MWANZA CITY,MOSHI CITY,IRINGA URBAN pamoja na miji midogo midogo kama vile Tunduma,kilwa,shirati,kyela,geita na semi urban nyingi tu.
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hali ni tofauti kwa Dar kwani Dar nayo sasa imeamka tena ina kiu ya mabadiliko.
Kiu hii ya mabadiliko imesababishwa sana na UFANISI na WELEDI mkubwa wa kazi za kibunge ulioneshwa na wabunge wawili tu kutoka upinzani Ndugu JOHN JOHN MNYIKA WA UBUNGI na Ndugu HALIM JAMES MDEE WA KAWE kwani wao hawakuwa wawakilishi wa majimbo yao tuu,Bali walikuwa wawakilishi wa mkoa mzima wa Dar es salaam.
Kitendo cha wabunge hawa kuisimamia na kuinyoosha serikali vizuri kumewaamsha watu wa Dar na wameona na kufahamu faida ya kuchagua wabunge wa upinzani. Kwa hivyo katika utafiti wangu nimegundua kati ya majimbo 11 yaliyopo Dar,majimbo yafuatayo yatangukia katika kapu la upinzani kama Muungano wa UKAWA UTADUMU:
1) KIBAMBA(CHADEMA) jimbo hili ni jeupe kabisa na upinzani kushinda ni 90%.
2) UBUNGO(CHADEMA) jimbo hili pia ni jeupe kwa upinzani na wana 80%
3) KAWE(CHADEMA) Jimbo lipo wazi kwa upinzani chini ya mwanamama jasiri HALIMA MDEE na wana 90%.
4)SEGEREA(UKAWA) jimbo lipo salama kwa upinzani chini ya UKAWA na wana 70%.
5) MBAGALA(CUF/UKAWA) jimbo lipo salama kwa upinzani chini ya UKAWA wana 60%.
6)UKONGA(CHADEMA/UKAWA) jimbo lipo salama kabisa chini ya ukawa na wako na 60%
7) KIGAMBONI(CUF/UKAWA) 57%
8) TEMEKE(UKAWA)55%
9) KINONDONI(UKAWA)55%
Ahsanteni sana.
Katika nchi nyingi hususani katika bara la Africa ambazo zimebadilisha utawala kutoka chama tawala kwenda chama cha upinzani basi vuguvugu la mabadiliko hayo huwa yameanzia katika miji mikuu ya nchi hizo kuelekea vijijini mfano Zambia yalianzia Lusaka kuelekea vijijini,Malawi yalianzia Blantyre kuelekea vijijini,Kenya yalianzia Nairobi kuelekea vijijini. Lakini hali ni tofauti kwa Tanzania.
Nchini Tanzania vuguvugu la mabadiliko limejikita zaidi katika miji ya kati kama vile ARUSHA CITY,MBEYA CITY,MWANZA CITY,MOSHI CITY,IRINGA URBAN pamoja na miji midogo midogo kama vile Tunduma,kilwa,shirati,kyela,geita na semi urban nyingi tu.
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hali ni tofauti kwa Dar kwani Dar nayo sasa imeamka tena ina kiu ya mabadiliko.
Kiu hii ya mabadiliko imesababishwa sana na UFANISI na WELEDI mkubwa wa kazi za kibunge ulioneshwa na wabunge wawili tu kutoka upinzani Ndugu JOHN JOHN MNYIKA WA UBUNGI na Ndugu HALIM JAMES MDEE WA KAWE kwani wao hawakuwa wawakilishi wa majimbo yao tuu,Bali walikuwa wawakilishi wa mkoa mzima wa Dar es salaam.
Kitendo cha wabunge hawa kuisimamia na kuinyoosha serikali vizuri kumewaamsha watu wa Dar na wameona na kufahamu faida ya kuchagua wabunge wa upinzani. Kwa hivyo katika utafiti wangu nimegundua kati ya majimbo 11 yaliyopo Dar,majimbo yafuatayo yatangukia katika kapu la upinzani kama Muungano wa UKAWA UTADUMU:
1) KIBAMBA(CHADEMA) jimbo hili ni jeupe kabisa na upinzani kushinda ni 90%.
2) UBUNGO(CHADEMA) jimbo hili pia ni jeupe kwa upinzani na wana 80%
3) KAWE(CHADEMA) Jimbo lipo wazi kwa upinzani chini ya mwanamama jasiri HALIMA MDEE na wana 90%.
4)SEGEREA(UKAWA) jimbo lipo salama kwa upinzani chini ya UKAWA na wana 70%.
5) MBAGALA(CUF/UKAWA) jimbo lipo salama kwa upinzani chini ya UKAWA wana 60%.
6)UKONGA(CHADEMA/UKAWA) jimbo lipo salama kabisa chini ya ukawa na wako na 60%
7) KIGAMBONI(CUF/UKAWA) 57%
8) TEMEKE(UKAWA)55%
9) KINONDONI(UKAWA)55%
Ahsanteni sana.