Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Wadau, amani iwe kwenu.
Si siri tena kuwa UKAWA umevunjika. Vipo viashiria vingi vinavyoelezea kuwa umoja huo haupo tena na kila chama kinaenda kivyake.
Si siri tena kuwa UKAWA umevunjika. Vipo viashiria vingi vinavyoelezea kuwa umoja huo haupo tena na kila chama kinaenda kivyake.
- Hakujawahi kufanyika kikao cha UKAWA tangu Julai 2015
- Viongozi wa UKAWA hawajitokezi mbele ya waandishi wa habari kueleza mambo kadhaa ya kisiasa na kijamii.
- CHADEMA wametangaza Opersheni UKUTA bila ya kuwashirikisha vyama vingine washirika wa UKAWA.
- CHADEMA wamepeleka wazee wao Dodoma kusimamia wabunge wao ili muswada wa vyombo vya habari usipite bila ya uwepo wa Wazee wa vyama washirika wa UKAWA.
- Vikao vya pamoja vya wabunge wa UKAWA sasa havifanyiki tena bali vikao vya wabunge wa CHADEMA.