Recent content by tubonge

  1. T

    Iringa - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Matokeo mengine Man u 0:0 Man city Haya ni ya mpira lakini Ndukiiiiiiiiiiii
  2. T

    Jinsi ya ku root simu yako ya Android

    Niliwai kutembelea makala moja about rooting..bahati mbaya makala ilijaa maneno magumu ya kiingereza. Na kama unavyojua English hata Magufuli hawez...nilishindwa kuelewa. Sasa leoo nimeinyaka. Ntafanya iko kitu rooting!! Mkiona sionekani humu ujue imezima.
  3. T

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    Naomba namba ya simu yako jamaa..watu hatuna wake,wewe wakwako unamuweka rehani... Asalaleeeee
  4. T

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    Na lini ccm mkataka mdahalo bhana,ebu acheni kujichetua. Mnataka kutumia mwanya wa afya ya Mh.Lowassa kubadili mindset za watu. Hiyo haitatokea,kama ilivyowauma wapinzani mwaka 2010 Mheshimiwa wenu alivogoma mdahalo...ngoja iwaume na ninyi mwaka huu. Watu vijijini hawana maji,hawana...
  5. T

    Vifo vya wanasiasa kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2015

    Masaburi yupi? Kama ni huyu wa Ubungo...hafai
  6. T

    Mjadala: Kwanini Halotel haitafanikiwa nchini Tanzania licha ya kuwekeza fedha nyingi?

    Kasi kubwa? Inafanana na ile ya mabasi ya UDA au?
  7. T

    Mtandao wa Smart Wamekuja Na hii, bundle za kutosha

    Tigo hawajawai kukukera? Ipo cku utaikaanga line yao kwa hasira.
  8. T

    Wasomi mmemsikia Edward Lowassa?

    Kura yangu anayo
  9. T

    Mchepuko unapokuachia kumbukumbu isiyofutika maishani mwako

    Mnaoona hiyo ishu ni ndogo ni kwa vile hamjawai nasa... Siku zote waaminifu kwenye ndoa ndo ukinaswa inakua hivi.. Mimi nakuombea tu,Mungu atakukomboa utakaa sawa.
  10. T

    GE2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

    Kuna Kujua english ya kuongea Na kujua english ya kufanyia kazi Magufuli na hata mimi mwenyewe english ya kuflow si ya muhimu,chamuhim ya kufanyia kaz. Nielewe concept,niweze kufanya maamuz... Watanzania tulko wengi tuna lugha nyingi. Kwanza lugha ya nyumbani,pili ya kiswahili tatu nijue...
  11. T

    Msaada: Faida na hasara za kubaki chuo kama tlecturer?

    Katika course ambazo unaweza kufikisha G.P.A ya juu ni hizo za science. Nasema hivyo kwakua hata mimi nilisoma hizo. Walimu wa science hawana longolongo za kujuana. Kwanza wanafunz huwa ni wachache so ni raisi kumfikia lecture kama kuna kitu kinakusumbua...jiamini,achana na maisha ya starehe na...
  12. T

    GE2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

    Naweza kuamini coz mimi ni mwalimu wa Chemistry A level,,kiukweli English hua inanipa tabu asee na wanafunz wangu wanajua lakini natumia mbinu ambazo zinawafanya wanaelewa kuliko hata walimu wanaojua English. Cjajua kwa upande wa Rais,ila itampa shida
  13. T

    Nahitaji mke wa kuoa

    Kila la kheri kaka jaribu kugoogle,unaweza mpata mchumba
Back
Top Bottom