Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Naweza kuamini coz mimi ni mwalimu wa Chemistry A level,,kiukweli English hua inanipa tabu asee na wanafunz wangu wanajua lakini natumia mbinu ambazo zinawafanya wanaelewa kuliko hata walimu wanaojua English. Cjajua kwa upande wa Rais,ila itampa shida

Mkuu kama ulichopost hapo ni kweli tafakari na uchukue hatua.

Mwalimu wa sayansi hana excuse kwenye hili naye anapaswa kuijua hii lugha jamani. Umekisoma O level yote compulsory. Umekitumia pia kwenye masomo yako yote university kwanini usikijue?

Narudia tena hujachelewa chukua hatua jifunze lugha ya malkia haikwepeki mkuu. Unayo nafasi kuzuia aibu kama hii anayopata Magufuli sasa. Zipo njia nyingi za kujifunza mojawapo ni kupitia mtandao kama Youtube n.k.
 
Kuna Kujua english ya kuongea

Na kujua english ya kufanyia kazi
Magufuli na hata mimi mwenyewe english ya kuflow si ya muhimu,chamuhim ya kufanyia kaz. Nielewe concept,niweze kufanya maamuz...
Watanzania tulko wengi tuna lugha nyingi.
Kwanza lugha ya nyumbani,pili ya kiswahili tatu nijue english..obviously lazima tuwe poor in speaking english
 
sababu hata huo 'uchapakazi' wake kwa kuangalia tu barabara zilivyojengwa sijawahi kuelewa
why amekuwa branded 'mchapakazi'....

Hiyo ya kuitwa au kuonwa mchapakazi ni matokeo ya viwango vya chini sana tulivyonavyo Watanzania.

Tanzania bado kabisa sijaona barabara yoyote ile iliyojengwa kwa kiwango cha ubora wa juu.

Magufuli ni aibu inayosubiri kutuaibisha tu Watanzania.
 
Kuna Kujua english ya kuongea

Na kujua english ya kufanyia kazi
Magufuli na hata mimi mwenyewe english ya kuflow si ya muhimu,chamuhim ya kufanyia kaz. Nielewe concept,niweze kufanya maamuz...
Watanzania tulko wengi tuna lugha nyingi.
Kwanza lugha ya nyumbani,pili ya kiswahili tatu nijue english..obviously lazima tuwe poor in speaking english

Maelezo yako siyo sahihi. Jambo la msingi katika ufahamu wa lugha yoyote ni uelewa wa sarufi (grammar) ikiwemo matumizi ya maneno (usage). Sarufi inafundishwa awali kabisa katika mafunzo ya lugha. Katika ufundishaji, uelewa wa sarufi (i.e. ufahamu wa lugha) ni kipimo muhimu cha awali cha uwezo wa kitaaluma wa mwanafunzi. Mwanafunzi anaeshindwa kufikia uelewa wa lugha unaotakiwa baada ya muda wa mafunzo anaangukia katika kundi la wanafunzi dhaifu (slow learners). Mwanadamu wa kawaida ana uwezo wa kujifunza idadi yoyote ya lugha na kuzifahamu kwa ufasaha.
 
Hivi kweli mnataka tuamini mtu unaweza kusoma hadi kwa kiwango cha Phd na ukawa hujui lugha uliyofundishiwa? Basi kama ni hivyo inawezekana hata kwenda kusoma china na tena kwa kichina na bila kujua kichina. Cha ajabu miaka yote hakuna aliyekuwa akitilia mashaka elimu ys Magufuli hadi ilipoibuka hiyo video tena ktk kipindi hiki,ni vichekesho tu.
 
Maelezo yako siyo sahihi. Jambo la msingi katika ufahamu wa lugha yoyote ni uelewa wa sarufi (grammar) ikiwemo matumizi ya maneno (usage). Sarufi inafundishwa awali kabisa katika mafunzo ya lugha. Katika ufundishaji, uelewa wa sarufi (i.e. ufahamu wa lugha) ni kipimo muhimu cha awali cha uwezo wa kitaaluma wa mwanafunzi. Mwanafunzi anaeshindwa kufikia uelewa wa lugha unaotakiwa baada ya muda wa mafunzo anaangukia katika kundi la wanafunzi dhaifu (slow learners). Mwanadamu wa kawaida ana uwezo wa kujifunza idadi yoyote ya lugha na kuzifahamu kwa ufasaha.

Je,ni kwa namna gani inawezekana kuhitimisha kuwa mtu hajui lugha fulani kabisa kwa kuona anashindwa kuiongea vizuru tu?
 
Hiyo ya kuitwa au kuonwa mchapakazi ni matokeo ya viwango vya chini sana tulivyonavyo Watanzania.

Tanzania bado kabisa sijaona barabara yoyote ile iliyojengwa kwa kiwango cha ubora wa juu.

Magufuli ni aibu inayosubiri kutuaibisha tu Watanzania.

Uko sahihi. Magufuli ni matokeo ya utamaduni unaoendelea uliolazimishwa kwa Watanzania na tabaka la watawala wa kukumbatia uduni (mediocrity) na kuridhika na udhaifu (settling for less) kwa maslahi yao. Magufuli hana umahiri wowote wa kiutendaji! Mfano, amekua waziri wa ujenzi katika kipindi ambacho tumeshuhudia ongezeko kubwa la foleni za magari barabarani lakini ameshindwa hata kupendekeza tu ufumbuzi homegrown. Amebaki kuimba 'naggingly': "Tunaongea na Wajapani watusaidie" (!!??), bila kutambua kuwa tuna kila kitu kinachotakiwa kutatua hili tatizo wenyewe ila kinachokosekana tu uongozi.
 
Hiyo ya kuitwa au kuonwa mchapakazi ni matokeo ya viwango vya chini sana tulivyonavyo Watanzania.

Tanzania bado kabisa sijaona barabara yoyote ile iliyojengwa kwa kiwango cha ubora wa juu.

Magufuli ni aibu inayosubiri kutuaibisha tu Watanzania.

Besides, wizara ya magufuli ya ujenzi ina hati chafu (qualified opinion) ya ukaguzi. Matumizi yasiyopungua 350 billion hayana maelezo na zaidi ya 900 billion tunatakiwa kulipa kama penalties kwa wakandarasi, barabara ndio hizo ndani ya mwaka mmoja hazifai, vigezo vya UCHAPAKAZI Tanzania ni vipi hivyo mbona tunajiabisha kiasi hiki?
 
Hiyo ya kuitwa au kuonwa mchapakazi ni matokeo ya viwango vya chini sana tulivyonavyo Watanzania.

Tanzania bado kabisa sijaona barabara yoyote ile iliyojengwa kwa kiwango cha ubora wa juu.

Magufuli ni aibu inayosubiri kutuaibisha tu Watanzania.



Ngabu we tazama vizuri barabara ya bagamoyo ambayo Magufuli alimwita
Kikwete kuifungua...haina taa hata moja..usiku ni hatari tupu
mitaro haijafunikwa...halafu tazama hiyo mitaro utaona manispaa imeshaweka
alama za kubomoa tayari....ni ajabu nchi hii sana....
 
Ngabu we tazama vizuri barabara ya bagamoyo ambayo Magufuli alimwita
Kikwete kuifungua...haina taa hata moja..usiku ni hatari tupu
mitaro haijafunikwa...halafu tazama hiyo mitaro utaona manispaa imeshaweka
alama za kubomoa tayari....ni ajabu nchi hii sana....

Hiyo ndo njia yangu kuu.

Kila siku ikiwa naendesha usiku kama natoka pande za Mwenge huwa sikai kwenye lane ya kushoto.

Kwanza nakuwa na hofu ya kudumbukia mtaroni [na kama ujuavyo huwa sielewi kabisa mantiki ya kujenga mamitaro makubwa utadhani mahandaki].

Pili, vituo vya daladala navyo vimejengwa karibu mno na barabara. Wewe mwendesha gari ukifika karibu na kituo huenda ukasimama kuzisubiri daladala zinazoshusha na kupandisha abiria.

Vituo vikiwa karibu sana na barabara ni hatari mno kwa watembea kwa miguu.

Tatu, hata median nayo [ukiachia tu pale eneo la jeshi kuanzia Lugalo huku mpaka njia panda ya Kawe ambako wanajeshi huwa naona wanajitahidi kumwagilia mwagilia maji] imeachwa tu iwe sehemu ya kuhifdhia mchanga na kuzalisha vumbi.

Nne, barabara kubwa kama hiyo haina hata taa moja kuanzia Mwenge mpaka huko Tegeta. Usiku mtu ukiwa unaendesha ni lazima uendeshe kwa umakini mno la sivyo utagoga watu.

Tano, sasa hivi nimeona sijui ndo wanajenga hizo 'feeder roads'....

Manake kwa mfano pale benki NBC Mbezi Beach wameziba ziba zile sehemu za kuingilia na inaonekana kama wanachonga barabara kuelekea kule juu pande za Shamo....

Kwa nini hawakufanya hivyo tokea mwanzo?

Halafu kuna sehemu wangeweza kabisa hata kuweka lanes tatu [kwa makadirio ya kwamba miaka tuseme 10 ijayo idadi ya magari inawea kuongezeka] lakini hawajafanya hivyo!

Ina maana tena baadaye watakuja kuanza kusumbua watu na ujenzi wa lane ya tatu?

Kwa sababu hiyo njia ina watu wengi sana waitumiayo kila siku na nahisi kama vile kila mwaka hao watumiaji huwa wanaongezeka.
 
Hiyo ndo njia yangu kuu.

Kila siku ikiwa naendesha usiku kama natoka pande za Mwenge huwa sikai kwenye lane ya kushoto.

Kwanza nakuwa na hofu ya kudumbukia mtaroni [na kama ujuavyo huwa sielewi kabisa mantiki ya kujenga mamitaro makubwa utadhani mahandaki].

Pili, vituo vya daladala navyo vimejengwa karibu mno na barabara. Wewe mwendesha gari ukifika karibu na kituo huenda ukasimama kuzisubiri daladala zinazoshusha na kupandisha abiria.

Vituo vikiwa karibu sana na barabara ni hatari mno kwa watembea kwa miguu.

Tatu, hata median nayo [ukiachia tu pale eneo la jeshi kuanzia Lugalo huku mpaka njia panda ya Kawe ambako wanajeshi huwa naona wanajitahidi kumwagilia mwagilia maji] imeachwa tu iwe sehemu ya kuhifdhia mchanga na kuzalisha vumbi.

Nne, barabara kubwa kama hiyo haina hata taa moja kuanzia Mwenge mpaka huko Tegeta. Usiku mtu ukiwa unaendesha ni lazima uendeshe kwa umakini mno la sivyo utagoga watu.

Tano, sasa hivi nimeona sijui ndo wanajenga hizo 'feeder roads'....

Manake kwa mfano pale benki NBC Mbezi Beach wameziba ziba zile sehemu za kuingilia na inaonekana kama wanachonga barabara kuelekea kule juu pande za Shamo....

Kwa nini hawakufanya hivyo tokea mwanzo?

Halafu kuna sehemu wangeweza kabisa hata kuweka lanes tatu [kwa makadirio ya kwamba miaka tuseme 10 ijayo idadi ya magari inawea kuongezeka] lakini hawajafanya hivyo!

Ina maana tena baadaye watakuja kuanza kusumbua watu na ujenzi wa lane ya tatu?

Kwa sababu hiyo njia ina watu wengi sana waitumiayo kila siku na nahisi kama vile kila mwaka hao watumiaji huwa wanaongezeka.

Huyu ndiye Magufuli mchapa kazi kwa vango vya ccm! Sijui huo uchapakazi ameuonesha katika nini hasa! TTunaongelea barabara wakati waziri amekuwa ujenzi miaka nenda rudi barabara ya kuingilia Dar kitovu cha nchi (Moro road) ni lane moja. uchapakzi wake sijui ni kule kukurupuka katika maamuzi? Kuna tofaui kati ya maamuz magumu na maamuzi ya kukurupuka!
 
Nyie mnaosema hajui kuongea English. Hapo alikuwa anaongea Lugha gani? Wacheni ushabiri wa kijinga.Hii ki Dunia ya maendeleo.
 
070a46a150391193f666b5668ffcbc15.jpg
 
Nisipokupa LIKE nitakuwa nimekukosea sana. Umeandika kitu kinachoeleweka ila kuna watu wanajifanya hawaoni wamebaki tu na hapa kazi tu
Hiyo ndo njia yangu kuu.

Kila siku ikiwa naendesha usiku kama natoka pande za Mwenge huwa sikai kwenye lane ya kushoto.

Kwanza nakuwa na hofu ya kudumbukia mtaroni [na kama ujuavyo huwa sielewi kabisa mantiki ya kujenga mamitaro makubwa utadhani mahandaki].

Pili, vituo vya daladala navyo vimejengwa karibu mno na barabara. Wewe mwendesha gari ukifika karibu na kituo huenda ukasimama kuzisubiri daladala zinazoshusha na kupandisha abiria.

Vituo vikiwa karibu sana na barabara ni hatari mno kwa watembea kwa miguu.

Tatu, hata median nayo [ukiachia tu pale eneo la jeshi kuanzia Lugalo huku mpaka njia panda ya Kawe ambako wanajeshi huwa naona wanajitahidi kumwagilia mwagilia maji] imeachwa tu iwe sehemu ya kuhifdhia mchanga na kuzalisha vumbi.

Nne, barabara kubwa kama hiyo haina hata taa moja kuanzia Mwenge mpaka huko Tegeta. Usiku mtu ukiwa unaendesha ni lazima uendeshe kwa umakini mno la sivyo utagoga watu.

Tano, sasa hivi nimeona sijui ndo wanajenga hizo 'feeder roads'....

Manake kwa mfano pale benki NBC Mbezi Beach wameziba ziba zile sehemu za kuingilia na inaonekana kama wanachonga barabara kuelekea kule juu pande za Shamo....

Kwa nini hawakufanya hivyo tokea mwanzo?

Halafu kuna sehemu wangeweza kabisa hata kuweka lanes tatu [kwa makadirio ya kwamba miaka tuseme 10 ijayo idadi ya magari inawea kuongezeka] lakini hawajafanya hivyo!

Ina maana tena baadaye watakuja kuanza kusumbua watu na ujenzi wa lane ya tatu?

Kwa sababu hiyo njia ina watu wengi sana waitumiayo kila siku na nahisi kama vile kila mwaka hao watumiaji huwa wanaongezeka.
 
Nimejaribu kufuatilia uwezo na uelewa na mwenzetu huyu katika arena za kimataifa ni zero na uwenda akafanya vituko kama vya ndugu Mulugo aliyekuwa naibu waziri wa elimu kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe.

Hiyo ilitokana na kushindwa ngeli na kubaki kukariri tu.Upungufu huu wa exposure kimataifa na lugha ni tatizo na ndio maana watu wasio na uwezo kama akina Makamba wanajitia kimbelembele kama wapiga zomari kwa Magufuli huku wakinyendea nafasi kama washuri wake akibahatika kuwa rais kama shetani atabariki.Mungu yupo upande wa Legwanani the Great.

Hivi kama alikuwa mwalimu alifundisahaje huko? Natafuta wanafunzi wake angalau nipate expreience ya huyu ndugu yetu Magufuli.

==================

Magufuli ni tatizo anajua kisukuma,kizinza,kihehe na venecula zingne ila kidhungu hajui,kiswahili chenyewe ni tatizo hadi huruma
 
Back
Top Bottom