Recent content by tsokho

  1. T

    Lini wanafunzi watapangiwa kidato cha tano awamu ya pili (ii) - 2017

    Walisha chaguliwa Mzee, hususan magirls. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Huo mzigo vipi na niki kupa 280000/=?
  3. T

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Kama ni kweli tukio kama hiyo imetokea, na siyo ya mara ya kwanza serikali inabidi ikaimarishe ulinzi ktk maeneo hayo ya matukio ,kiwezekana kambi ya jeshi ifunguliwe maeneo hayo.
  4. T

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Tanesco ni shirika na ni kampuni isiyo jali wateja wake, na sema hivi kwa dhati kabisa kwa sababu sisi katika laini yetu tangu juzi hakukuwa na umeme kabisa. Tulijaribu kuwapigia simu muda wa usiku saa 22:15 wakatujibu kwa ujumla eti ,mafundi wetu wanakuja na wako njiani,tukamkomalia kikweli...
  5. T

    Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

    Ni vema sana mnavyo fanya lkn ukweli ukowapi wa kuniridhisha kimaelezo zaidi.
  6. T

    Je Computer yako ina tatizo lolote!! Wasiliana nasi sasa upate ufumbuzi wa tatizo hilo.

    Hivi una hard disc ya 500gb? Km unayo ni sh? Pamoja na kuweka sh? Na window uki+ itakuwa sh?
  7. T

    Nokia is back, Nokia 6 yazinduliwa China

    Vpi tz bado haijaingia sokon?
  8. T

    TV4Sale BNL Electronics: Smart TVs, LED Tvs for sale!

    Home theatre aina LG ebu toa bei zake, wapi unapatikana?
  9. T

    Je Computer yako ina tatizo lolote!! Wasiliana nasi sasa upate ufumbuzi wa tatizo hilo.

    Mimi ya kwangu ni used aina ya thinkpad series of T61 nikiw asha tu mwanzoni iko vzuri ,lakn baadaya mwezi mmoja ivi ,nilipowasha tu inaniandikia upuuzi mwingi mno ambayo ukirekebisha kulinganana pc inavyotoa nini chakufanya ili iwake ,najaribu kufuata instructions yake but still it display the...
Back
Top Bottom