Kama ni kweli tukio kama hiyo imetokea, na siyo ya mara ya kwanza serikali inabidi ikaimarishe ulinzi ktk maeneo hayo ya matukio ,kiwezekana kambi ya jeshi ifunguliwe maeneo hayo.
Tanesco ni shirika na ni kampuni isiyo jali wateja wake, na sema hivi kwa dhati kabisa kwa sababu sisi katika laini yetu tangu juzi hakukuwa na umeme kabisa. Tulijaribu kuwapigia simu muda wa usiku saa 22:15 wakatujibu kwa ujumla eti ,mafundi wetu wanakuja na wako njiani,tukamkomalia kikweli...
Mimi ya kwangu ni used aina ya thinkpad series of T61 nikiw
asha tu mwanzoni iko vzuri ,lakn baadaya mwezi mmoja ivi ,nilipowasha tu inaniandikia upuuzi mwingi mno ambayo ukirekebisha kulinganana pc inavyotoa nini chakufanya ili iwake ,najaribu kufuata instructions yake but still it display the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.