ahsnte sana ndugu...... lazima niende.... lakini vp mkuu hawawezi kuaccept kama hauna living? mfno una orgino fm 6 or fm 4.....result slip... cheti cha kuzaliwa, cha mpiga kura...cheti cha uraia ......
Habari ya Jumamosi wanaJF
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25, elimu yangu ni kidato cha sita (2012). Natafuta kazi ya ulinzi katika kampuni ya watu binafsi au mashirika ya umma, nipo Karatu Arusha, kwa yeyote anayefahamu naomba anisaidie.
NB; Pia kuna mtu amenielekeza...
Nahitimu chuo mwezi ujao huku nyanda za juu kusini, kutokana na ajira kuwa ngumu hapa bongo, nimefocus kujibana kwenye kampuni moja ya ulinzi ya KK security. Kwa mwenye ufahamu wa kampuni hiyo naomba anijuze.
Hilo ni sahihi ila watu wenye sababu maalumu kama wanavyuo hususani wa mwaka wa tatu wanaomaliza chuo wangeangaliwa namna ya kuwasaidia ili wapige kura maana tumejiandikishia vyuoni na wakati wa uchaguzi tutakuwa tumemaliza vyuo.pia wanafunzi wa kidato cha sita watakaokuwa vyuoni kwa wakati huo...
cindani.... coz kuna nchi kama uingereza waalimu wanathaminiwa sana...mfano kimaslahi.... pia status zao zipo juu kama ualimu kipindi cha miaka ya 60s-80s hapa tz
poa jamaangu..... nashukuru sana...... vp kuhusu namna ya kuapply mfono barua, vyeti nk..... vigezo vya kujiunga..... bt kuna jamaa kaniambia kuwa uwe na mafunzo ya mgambo.....kuna ukweli hapo?
jamani natafuta kazi ya ulinzi katika kampuni ya kk security.... kwa anayefahamu vigezo naomba anisaidie...... binafsi nina elimu ya form 6...2012.......npo arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.