Hebu tumsaidie huyu kijana

Hebu tumsaidie huyu kijana

huyo ni anataka URAIS. maana huwezi honga kiasi hicho kila mwezi. awape ndugu zake hasa mama. binti atakula nae wakiwa wote. sasa hivi amsusstain kwa vidogo vidogo tu.
 
Nasema hivi, yeye aendelee kuvumilia na kuhudumia hadi hapo atakapo amua kutoa hiyo papuchi mwenyewe lakini kwa sharti bint akutwe na bikra otherwise na yeye atoe huduma za kawaida tu, kama vocha, kusuka n.k mpaka watakapomaliza kuchunguzana.
 
Nasema hivi, yeye aendelee kuvumilia na kuhudumia hadi hapo atakapo amua kutoa hiyo papuchi mwenyewe lakini kwa sharti bint akutwe na bikra otherwise na yeye atoe huduma za kawaida tu, kama vocha, kusuka n.k mpaka watakapomaliza kuchunguzana.
Mkuu Sukari Yenu ulichosema ww mbona ni sawa na ushauri wangu. Unajua watu wanaangalia ile laki 2.5 kwa mwezi wanaiona nyingi sana,lkn km angekuwa anapewa kidogo kidogo km unavyosema ingezidi hata hiyo laki 2.5. Hapo anapewa hiyo apange vizuri matumizi yake yote kwenye hiyo hiyo laki 2.5. Hapo hoja nzito ni hiyo,km hataki kutoa nae atakutwa bikra???
 
Last edited by a moderator:
Mwambie huyo dogo aache upoyoyo na tafadhari sana usimuite mjasiriamali.
 
mpe number yangu...huo mshahara nikiongeza na kasalary kangu basi maisha yanaenda murua
 
mpe number yangu...huo mshahara nikiongeza na kasalary kangu basi maisha yanaenda murua
Haa haaa,mkuu rosita ulivyoongea ni km vile number yako me nnayo..!!
 
Last edited by a moderator:
hahaaaaaa nikupe?
Kwa vile umeamua kujifungia boom kiunoni,weka nimpatie. Ila inabidi uwe na mvuto hasa,huyo bibie anayeliliwa si mchezo..! Kajaaliwa haswaaa!!!!
 
Wajinga ndio waliwao.......uroda na hela unazotoa anapewa jamaa mwingine.....hujui maana ya kupenda na kupendwa.
 
Mkuu Jambazi hapo nilipoweka nyekundu ameanza kumpa mwezi uliopita. Km ataendelea,huu utakuwa mwezi wa 2. Wala siyo mtoto wa kigogo ni mjasiriamali tu anayetoka familia masikini kabisaa!!

Asipotazama atafilisika kabla ya kuwa mfanyabiashara. Huo co uhongaji. Ataua mtaji.
 
Wana MMU salaam,

Huyu kijana ni mjasiriamali wa siku nyingi. Ni kijana fighters sana kwenye maisha, amejijenga vizuri sana, kwa maana ya kuwa na mahali pa kuishi na kausafiri lakini hajaoa.! Ana mchumbaake ambae anaonyesha kampenda sana, kwa maelezo yake anadai hadi sasa wana kama miezi mitatu wakiwa kwenye uchumba.

Kijana analalamika kuwa, kipindi chote hicho cha miezi 3, hajapewa lile tunda la katikati! Kilichomstua kwa maelezo yake, binti anadai hawezi kumvulia nguo kwa muda huu mfupi sana walionao kwenye uchumba. Tatizo lipo kwenye huduma, kijana anadai anamhudumia binti kila kitu, pamoja na kumjali kwa kila kitu, lakini ili kumfanya awe salama zaidi, ameamua kuwa anampa mshahara wa laki mbili na nusu kila ikifika tar. 25 ya kila mwezi.

Binti anafanyakazi katika Duka moja la kuuza vipodozi hapa. Ndo amekuja kuniomba ushauri kama amvumilie au aachane nae kuepuka hizo gharama? Mimi nimemshauri kifupi sana, amwambie na yeye anasitisha huduma mpaka hapo watakapomaliza kuchunguzana na kukubaliana. Hakuna haki bila wajibu hapa Duniani. Lakini namuona kijana kama anaogopa kuchukua ushauri wangu.

Hebu nisaidieni cha kumshauri! Najua hapa hakiharibiki kitu

Nawasilisha

Anajua maana ya shake well before use??atakuja kunywa sumu shauri yake
 
Kwa vile umeamua kujifungia boom kiunoni,weka nimpatie. Ila inabidi uwe na mvuto hasa,huyo bibie anayeliliwa si mchezo..! Kajaaliwa haswaaa!!!!
basi bana tabia nzuri na sura ninayo ila sijajazia nyuma...salary ndo nishakosa...mwambie kila la kheri na bi mdada....hahaaaa salary ileeee
 
Back
Top Bottom