Natafuta kazi ya ulinzi

Natafuta kazi ya ulinzi

Safi sana Nenda kk Kama ulivyoshauriwa.

ahsnte sana ndugu...... lazima niende.... lakini vp mkuu hawawezi kuaccept kama hauna living? mfno una orgino fm 6 or fm 4.....result slip... cheti cha kuzaliwa, cha mpiga kura...cheti cha uraia ......
 
Vigezo vikuu vya kupata ajira KK SECURITY ni kama ifuatavyo:
  • Academici qualifications. Uwe na cheti cha elimu ya sekondari kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
  • Uwezo mzuri wa kuzungumza lugha ya kiiingereza, ujue na law kidogo.
  • Urefu wako uwe wa kutosha, kuna kipimo pale, hakuna longo longo wala rushwa katika hilo.
  • Uje na barua mbili za wadhamini pamoja na ya kwako mwenyewe ya kuomba kazi
Other qualifications are added advantage: Driving, computer literate e.t.c

HQ ziko Dar ila ajira huweza tolewa Mwanza na Dar vile vile.
Safiri uende mpaka Dar es salaam, japo kuna usumbufu sana pale.

mkuuu vp kama nina origino certificate fm 4 na fm 6,,, cheti cha kuzaliwa... cheti cha uraia , cha mpiga kura, hapo vp?
 
usiongee usichokijua mm nliwah kufanya nao be4 sijapata kazi gvt. So nawajua effectively na hadi saivi nna mawasiliann nao....
Basi sawa mkuu.
Nilighafilika tu ndugu yangu.
Samahani sana..
 
mkuuu vp kama nina origino certificate fm 4 na fm 6,,, cheti cha kuzaliwa... cheti cha uraia , cha mpiga kura, hapo vp?

Kama vyote vinahusiana na academic issues its up to you.

Mambo yanabadilika, labda wameongeza vigezo na masharti.
 
ahsnte sana ndugu...... lazima niende.... lakini vp mkuu hawawezi kuaccept kama hauna living? mfno una orgino fm 6 or fm 4.....result slip... cheti cha kuzaliwa, cha mpiga kura...cheti cha uraia ......

sidhani kama kuna mambo ya leaving certificate, trust me, ishu inakuja kama huna original certifs.
 
Jaman na mimi nielekezen ukishuka walioba then unaelekea wap nikatafute hicho kibarua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom