sasa ndg yangu kama ana uzoefu mbn mtaj wa sh laki moja tu anaweza kuanza biashara ya chips uswahilini, kwa nn usimwezeshe?
maisha ndgu yang 2naktana na marafk weng xan wana maixh magum xa 2kxema kila m2 2mwezexhe mtaj itakuw ngum ndo maan wengne 2nwataftia mxaada hmu jf.
maisha ndgu yang 2naktana na marafk weng xan wana maixh magum xa 2kxema kila m2 2mwezexhe mtaj itakuw ngum ndo maan wengne 2nwataftia mxaada hmu jf.
vijana waliotajwa hapo juu kwa lengo la kuuza vitabu kwa kuvitembeza malipo sh 80,000 kwa mwezi.kwa maelezo zaidi tuna meseji namba 0754 870 398 ,andika jina umri na mahali unapoishi tunapatikana Dar es Salama
VIGEZO:
-Awe mchangamfu
-Uwe na mdhamini 1,na awe mzazi au ndugu
mkuu sina nafasi ndio maana nawaomba msaada wenu kama mna nafasi
Huna nafasi kwa maana unachumba kidogo hivyo hamtatosha au huwezi mpatia kazi.