SaintErick
Member
- Aug 7, 2013
- 56
- 12
Najua humu kuna walimu wa ngazi mbalimbali na wenye elimu na uzoefu kutoka seheme mbalimbali. mimi ngependa kujua kwanini taaluma ya ualimu ni tofaut saana na taaluma zingne kama sheria na udaktri?? Je, ni kweli taaluma ya ualimu inadharaulika?? ni ya watu waliokosa seem ya kukimbilia ndo imekua kwa sehem ya kujificha??
kwa siku nying saana walimu tumeonekana kama n watu flan au wafanyakaz wa kujitolea tuu na maslahi ya mwalim yamekua kama ya kuhurumiana na sio haki yake. chanzo cha tatizo ni nini? ni kasumba,dharau za waz au ni nini? tunaona wote walikua "wajinga" kwa mda flan, mwalim akawaelimisha wakaelewa wakawa welevu lakin baadae wamekuja kumkanyaga mwalim!!!! Inaumiza saana watendeayo walim..lakin je ni kweli mwalim anastahili anachokipata?? Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) kiko kwaajili ya nan?? kila siku mshahara tuu,, mbona mwalim haendelezwi ile taaluma yake?? kwa hio kaz nn?? Tunaweza kufanya mwalim akaheshimika kama mwanasheria,daktari,mhandisi,mhasibu n.k lakin tuu kwa kujikomboa kifikra na kubadili kwa baadhi ya mifumo ya kizaman juu ya walim. EDUCATION FIRST, TEACHERS FIRST FOR LITERACY WORLD. PRAISE TEACHERS DONT UNDERMINE THEM.
kwa siku nying saana walimu tumeonekana kama n watu flan au wafanyakaz wa kujitolea tuu na maslahi ya mwalim yamekua kama ya kuhurumiana na sio haki yake. chanzo cha tatizo ni nini? ni kasumba,dharau za waz au ni nini? tunaona wote walikua "wajinga" kwa mda flan, mwalim akawaelimisha wakaelewa wakawa welevu lakin baadae wamekuja kumkanyaga mwalim!!!! Inaumiza saana watendeayo walim..lakin je ni kweli mwalim anastahili anachokipata?? Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) kiko kwaajili ya nan?? kila siku mshahara tuu,, mbona mwalim haendelezwi ile taaluma yake?? kwa hio kaz nn?? Tunaweza kufanya mwalim akaheshimika kama mwanasheria,daktari,mhandisi,mhasibu n.k lakin tuu kwa kujikomboa kifikra na kubadili kwa baadhi ya mifumo ya kizaman juu ya walim. EDUCATION FIRST, TEACHERS FIRST FOR LITERACY WORLD. PRAISE TEACHERS DONT UNDERMINE THEM.