Kikao cha tatu cha UKAWA vimefeli

Kikao cha tatu cha UKAWA vimefeli

mkigoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
1,180
Reaction score
309
Ni kikao cha tatu sasa umoja katiba ya wanainchi vimeshindwa kufanyika baada ya Chadema kutoa udhru wa kutingwa na shughuli ndani ya chama, lakini wadau wa siasa wamebashiri ndio mwisho wa ukawa hii ni baada ya NCCR na CUF kupeleka vigezo vyao ambavyo inaonekana Kama kuitoa Chadema katika mbio za urais wa ukawa.
 
Hichi kikundi cha uasi hakiwezi kudumu kamwe!
 
Ili CCM wapate upinzani wa nguvu ni lazima mgombea uraisi ndani ya UKAWA atoke chadema..
Hii ndo fact bila kumung'unya maneno
Au CUF wabadilishe mgombea sio Lipumba!!!
 
Ni kikao cha tatu sasa umoja katiba ya wanainchi vimeshindwa kufanyika baada ya Chadema kutoa udhru wa kutingwa na shughuli ndani ya chama, lakini wadau wa siasa wamebashiri ndio mwisho wa ukawa hii ni baada ya NCCR na CUF kupeleka vigezo vyao ambavyo inaonekana Kama kuitoa Chadema katika mbio za urais wa ukawa.

Ukiripoti kutoka Lumumba wewe ni..... Mpayukaji
 
KUNA demu wa kigoma alitaka kunipanda mabegani kwa ubishi ubishi wake nikam discipline naona ni ndugu wa mtoa mada, unajua nifanza nini?
 
Hivi nyinyi mmelishwa nini sijui?
mnawaza UKAWA tu, thamani ya shilingi inashuka kila siku nyinyi mnawaza UKAWA tu.
Raia wengi wanwachukia nyinyi mnawaza UKAWA tu.
Waleteeni waTZ maisha bora nyinyi mnawaza UKAWA tu.
Sasa inabidi tuwalete UKAWA ndipo matapona.
 
Chuki za kipuuzi!
Thread closed,Labda kama Moderator wanaegemea upande mmoja
Delete this mods thank u!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo Ukawa ni kundi la viongozi wenye malengo tofauti.
1.Mbatia anataka support ya kuwa mbunge wa Vunjo- hana interest ya Ukawa kuchukua nchi
2. Lipumba na CUF aim kubwa ni kuongeza majimbo/ viti bungeni
3. Chadema wana lengo ya kukamata dola
 
KUNA demu wa kigoma alitaka kunipanda mabegani kwa ubishiubishi wake nikamdiscipline naona ni ndugu wa mtoa mada, unajua nifanza nini?

Manina zao na mimi napenda sana wabishi kama huyo wako, wanajitia wabishi sana hawa
 
mod:wa jamii forum wana harufu ya kukipendelea chama tawa na rafiki yao zito hasa kwenye habari za umbea na uzushi zinazohusu ukawa
 
kauze migebuka acha ufala, wewe ni ACT-msaliti unaripoti habari za ukawa?
 
Chadema wabinafsi sana wao ndio wanajifanya wako busy sana....na kamwe hawato waburuza CUF!

labda hujui kua ni katiba ya chadema pekee imeandika kua tayari kuungana na vyama vingine vya upinzani ili kuleta mshikamano kwa kuwaletea watanzania maendeleo ya kweli
 
Ukawa wa ukweli ni wale waliohudhuria mdahalo jana, hawa waliokimbia mdahalo ni majanga matupu, nyumba yao kwa sasa inawaka moto kwa kasi ya ajabu
 
Back
Top Bottom