Africa ina historia Pana Sana na imechangia ustaarabu mbukwa Sana kwenye modern world unayoiona sasa. Ustaarabu mkubwa uliamzia Africa na mfano mzuri ni falme ya misri yenyewe iliweza kutatua changamoto zake mbalimbali na kuja na uvumbuzi mbalimbali zilizoweza kuwasaidia na hata ushaidi upo...
Wewe Kama mhandisi mtarajiwa unapotafuta title tafuta kitu ambicho ni rahisi ww kufanya mfano kwenye masomo ulionayo nilipi unapenda zaidi alafu tafuta tatizo then unasolve hilotatizo kwenye real situation..
Kuvunja tofali so mazingaumbwe ila inawezekama yakawa so imara kwani wanayatengeneza wao na kuyapa muundo wa tofali za kawaida strength ya tofali ndo inamater.....
Usikubali hata maandiko hayaruhusu na mara utakapoanza usitegemee kuacha.... madhara yapo tena makubwa sn mpe msimamo wako kama akirudia we mwache kiroho safi usije kujuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.