Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Dorie ni mwanadada Mbongo mzuri sana, miaka 22. Anasoma katika Chuo fulani cha akina dada tupu kwenye mji moja mdogo Jeddah, hapa Saudi. Ana rafiki yake wa kiume Mbongo miaka 29 anafanya kazi mjini. Basi siku moja kaja kumtembelea bwenini. Kwa kawaida wanaume hawaruhusiwi bwenini, isipokuwa mara moja kwa mwezi. Tena ni lazima waache mlango wa chumba wazi.
Mnatuletea mastory ya shigongo huku
 
Wakuu kweli kutoboa peponi ni kazi just imagine


Kitaa napo stay kuna sehemu ina maduka makubwa yenye uhakika wa kupata karibu kila kitu unachokihitaji. Sasa kuna duka moja hua naenda kudaka mahitaji yangu mara kwa mara. Halafu kitaa sina mazoea kabisa na watu wengi hasa jinsia ya kike ni wadau wachache tu wa kiume ambao nao tumekutanishwa through football.

Nadhani ni ubize wa kazi na haiba yangu jinsi nilivyo ni mtu fulani mkimya sana kama hunifahamu umaweza kusema huyu jamaa ni mpendwa (mlokole) au huyu jamaa anajisikia sana ndio sababu kubwa ya kutokua mwepesi wa kuzoea watu wengi, sijui kwanini nipo hivi ila hua na enjoy sana hii hali kwa sababu inanifanya niwe free from stress. Kifupi mimi ni mgumu wa kushoboka, hata pisi iwe kali vipi kwangu naona normal tu japo yupo mmoja (girlfriend) wangu anayenitetemesha kwa kuuteka moyo wangu japo nae hua simshobokei kivile kiasi cha kufanya ajione yeye ndio yeye.

Mtaa ninao kaa ni kwa washua, sio kwetu me nimedaka room katika mbanga zangu za kusaka life, so huu mtaa mageti mengi sana, hakuna magenge kusema watoto wa kike watatoka wataenda kununua vitu, wengi wanafanya manunuzi kisha wanaweka vitu kwenye majokofu yao. Hii naeleza sababu ndio ilifanya nika ji bless. Mtaa una pisi nyingi kali ila magetikali.

Siku moja hivi majuzi kati wakati wa likizo ya vyuo (sijui kama ni vyote ila vingi naona wameshaanza kufungua) nimeenda zangu kwenye lile duka nashangaa nakutana na pisi kali hatari kumbe ni mtoto pale na nilikua sijawahi kumuona kabla.
Wakuu Mungu fundi bwana, yule mtoto alikua amekamilika kila idara unayoijua wewe kama kasoro labda iwe kwenye tabia tu maana wanasema hakuna binadamu aliyekosa kasoro, japo mpaka sasa hata tabia yake naona mawaida tu.

Pisi ilidhani nitashoboka maana ndio akili zao hao watoto wa kike hasa wakijijua ni wazuri na wamefungasha. Hii pisi haikuamini nilifata kilichonipeleka japo niliimezea mate lakini nikajikaza kiume nikajikataa. So ikawa hivo kila nikienda dukani naikuta kama mara nne au tano hivi, sikuiuliza hata jina wala yeye alikua halijui langu. Na sikua naenda kila siku nilikua naenda pale tu napohitaji huduma kifupi sikumpaparikia.

Sasa siku nyingine tena nimeenda nakuta mtoto huyo anaongea kwa simu na rafiki yake wa kiume sababu sauti ya upande wa pili nilikua naisikia. Pisi ilimwambia jamaa imewasha pc kakuta inazingua hajui tatizo nini, jamaa upande wa pili akasema nitakuja kuicheki ila nadhani itakua ime corrupt window gharama zake ni elfu 25 (Huenda yupo sawa ila niliona kama dogo anapigwa).

Mzee mzima kwa mara ya kwanza nikashoboka, nikasema lete hio pc tuione, mtoto kuleta kweli window ilikua ime corrupt, nikamwambia kama utaniamini naweza kukupigia nyingine tena for free kabisa. Akaniuliza kwani unakaa wapi, nika m direct akapafahamu ila ndo hivo akaogopa kunipa pc niende nayo akasema nipe namba yako huyu jamaa akizingua takucheki kesho kama nitakua na muda nitakuja au kama inawezekana kufanyia hapa ukiwa free uje.

Nikampa namba na kesho yake kweli alivyonicheki nikaenda, mtoto akanifungulia geti kulikua na viti na meza uwani tukakaa hapo nikampigia window 10, nika install program basi ndo ukawa mwanzo wa kufahamiana hapo.

Ukweli mwanzo nilimtamani nimle, lakini tulivyofahamiana nadhani mimi ndiye nilikua mwanaume pekee pale mtaani ninayeendana na vigezo akivyojiwekea yeye pia nahisi kwenye contact zake mimi ndiye nilikua mwanaume pekee ninayemjali kwa kumpa muda wangu mwingi. Kwani tulianza kuwasiliana mpaka tukazoeana tukawa marafiki wakubwa. Nikajua mambo yake mengi mpaka mahusiano yake na boy wake pia yeye akajua ya kwangu, tulikua washkaji mpaka tukafika ile level yeye anaongea na man wake kwa simu mbele yangu sisikii wivu kabisa na wala hafichi chochote wala kutoka mbele yangu, the same mimi pia kuongea na girlfriend wangu alikua haumii wala kuonyesha wivu wowote tena alikua anasema umuoe sasa huyo wizzo wangu sio umchezee umuache maana nyie wanaume sio poa.

Wakuu ela zipo ila sometimes vitu vidogo tu vinaweza kukupa credit kwa mtoto wa kike mpaka ukabaki unashangaa. Hii mimi nalliita zali la titanic. Kumpa muda wangu na kujali kuhusu yeye kwangu niliona ni kawaida sana kwanza kwa sababu she is so beautiful so nikaona ana deserve lakini kumbe kwake ile care, time kubwa tunavo wasiliana ilijenga kitu kikubwa sana kwake na hapa ndio nimeamini wanawake wanahitaji kujaliwa tu it's enough japo pesa ni muhimu ila the more you care bt her the more you make higher probability ku mu win. Mfano huyu mtoto dukani kwao kuna mi biscut, chocolate za kila aina sikumuona hata siku moja anakula ila nikimpelekea nilizotoa sehemu nyingine swala tu zimetoka kwangu basi alikua anakula na ananishukuru sana mpaka nikabaki nashangaa.

Kifupi nili u win moyo wake japo sikufanya hivo makusudi na nilivyomzoea wazo la kumla sikua nalo kabisa ndio maana hii ni valid kabisa kuitwa kimasihara.
Nimeandika andiko ndefu lakini nimejaribu kudadafua vizuri ili kila mtu aelewe kusewepo na maswali hapa katikati.
Kuna sehemu niliongelea habari za likizo za vyuo, huyu mtoto ni mwanachuo (Udsm 1st yr), ni binti tu she is just 20 yrs old. Kwao magetikali ndio ila angalau yeye uwezo wa kutoka alikua nao masaa kadhaa ila kurudi usiku ndio ilikua noma.

Siku hiyo akanipigia simu ilikua weekend kasema leo nipo nipo tu nakuja room kwako kama upo free, (tulikua tumezoeana sana) so alikua jambo la ajabu kusema anakuja, nikamwambia wewe tu.

Hapa pia wazo la kumgonga halikuwepo sababu nilishamzoea sana namuona kawaida tu. Kweli sio muda huyo akafika.
Tukapiga story sana, jokes nyingi za hapa na pale maongezi mazima hatukuongelea kuhusu man wake wala girlfriend wangu ila mtoto alifurahi sana. Mwanzo pia nilisema kujali kwangu kulizalisha hisia kwake juu yangu.
So alivyokuja nadhani alitegemea nitamtafuna lakini kutokana na haiba yangu na kumzoea sikushoboka ikabidi tu mida mida aage maana story zenyewe zilishaanza kua za kutafuta.

Katika kuniaga nikataka nimsindikize akasema hapana nitarudi mwenyewe muda huo tulikua tumekaribiana sana. Kwa mara ya kwanza toka tufahamiane akaniita Bro! wanawake bhana. Akaniambia nataka niku hug ndio niende, bila hiyana mimi nikakubali (mimi sio domozege wakuu maana kuna watu wataanza kuleta maneno hapa).
Cha ajabu tume hug hataki kuniachia, tukajikuta tunaangaliana usoni, japo nilikua nimemzoea sana kiasi cha kumuona wa kawaida licha ya kwamba ni pisi kali kuna hisia fulani ziliibuka ghalfa kwangu yeye alikua nazo tayari so kwake ziliamka tu.
Sijui ilivyokua ila tulijikuta tu tuna kiss. Kuagana kukaishia hapo romance ikaanza, mtoto ana lips flan hivi laini nilikula sana mate mpaka nikajihisi dunia yote yangu nimeiweka kwenye wallet.

Huu uzi niliwahi kuzinguana na wadau issue za kujilia kimasihara bila kinga ila siku ile kwa mara ya pili maishani mwangu toka nizaliwe nili sex na mwanamke bila kinga. Ilikua emergence.
She is beautiful everywhere, nili enjoy sana hakuna raha kama kula mtoto mzuri huku ukimuona anavyokudekea ilikua balaa, nilijipigia zangu round 2, huyo akasepa. Wanawake bhana alivyoondoka akaacha kujibu text zangu wala kupokea simu zangu, nikapita dukani siku moja nikamkosa, mi sishoboki sana kama uzuri ni wa kwake, nime play part yangu naona mtu ha respond na mimi nikabwaga, sasa ikabaki kila mtu anasubiri fulani aanze kumtafuta. Na mimi makusudi nikaacha kwenda dukani kwao, after kama karibu week mbili naona text yake "I miss you so much" alitegemea nimjibu I miss you too lakini nikacheza na akili yake nikamwambia kama kweli njoo. Huyo kesho akaja, na mimi nilijua atakuja nikadaka kinga, alivyokua huyo nikajipigia kiulaini.

Tulivomaliza akaniambia Nampenda sana mwanume wangu naamini wewe pia unampenda mwanamke wako, nime sex na wewe kwa sababu kuna muda nikikaa peke yangu nahisi kabisa nakupenda, ila ni hivi tujitahidi tusiwaumize tena watu wetu, tubaki normal tusi sex tena.
Kwa kua mimi ni mzee wa ku balance shobo nimekubali iwe anavyotaka ila ninaamini hio nj mechanism defensive yake ya kuua soo siku yoyote nikihitaji nitapiga tu.
Japo sina tena mpango huo japo nime m cheat ila nampenda sana bebe wangu.

Nimeandika ndefu kwa mtakao boeka poleni sana kwa usumbufu.
 
KIMASIHARA MAKAMBI YA WASABATO NA KUCHEZEA KICHAPO

KIBWAGIZO
“…..Mtoto Sonia mimi, nimekuzimia. Katika kukupenda mimi nimeonesha nia. Njoo soniaaa, soniaaa, mi nakupendaaa, kupendaaaa, njoo soniaaaa,soniaaaa tupeane dendaaaa, tupeane dendaaa x2..”

UTANGULIZI
Ilikuwa ni siku Ijumaa (Sikukuu) nikiwa getho nikijiimbia mwenyewe wimbo huo , huku nikimsubiri kipenzi changu Nyanjiga, toto la kijita huko Majita. Huyu ni binti niliyekuwa nasoma nae kidato cha Tatu, yeye akiwa F3B, mimi nikiwa F3A katika shule ya Sekondari Nansimo (siyo jina halisi).

Huyu mpenzi wangu, tuliahidiana kukutana saa 5 asubuhi, kwenye makambi ya Wasababtho yaliyokuwa yanaendelea jirani na nilipokuwa nimepanga. Lakini hadi muda huo unafika alikuwa hajafika.

Nilianza kupata wasiwasi baada ya saa zima kupita bila kufika, lakini bado moyo ulinambia Nyanjiga hawezi kuniangusha. Na mara nyingi alivokuwa akipata dharura alikuwa akimpa kimemo rafiki yangu Kanywagale ambaye walikuwa wanaishi nae jirani. Ila safari hii, mambo yalikuwa tofauti. Saa 6:13 bila kumuona Nyanjiga wangu. Hatuna simu na siwezi kumpata kwa namna yoyote ile.

Nilihuzunika sana siku hiyo, lakn ghafla akili ikanambia nenda barabarani ukamsubirie huko, akitokea uje nae upate Kanchude. Ukweli nilienda barabarani, nikawa naangaza angaza ili nimuone Nyanjiga wangu, bahati mbaya sana hadi namaliza saa zima na madikika mengi, Nyanjiga hakuonekana.

Ilivyofika saa saa nane nikiwa nimekodolea upande anaotoka Nyanjiga niliona mdada mmoja kwa mbali, nuru ikaanza kuonekana usoni, tabasamu likarejea, lakn kadri yule binti alivyokuwa akisogea nilitambua kuwa si mwenyewe. Ni mwingine tu.

Njaa ilianza kuniuma, nikaamua nilirudi tu nyumbani, nipate labda chochote. Kama mjuavyo ndugu zangu cha tumboni ndo kinashikilia cha kichwani. Nikaamua kuondoka. Nilivofika kwenye maeneo ya makambi nikaamua kumtafuta Nyanjiga wangu! Zuungusha shingo, zungusha wapi? Zungusha shingo, zungusha wapi? Duu. Nikaamua kwenda tu Getho.

Nikiwa nakaribia getho, ghafla roho ikanambia emu rudi mara ya mwisho ukaangaze tena labda anaweza kuwa anakuja. Kweli nilirudi nikakaa barabarani nikiwa nakodoa sana, macho yameshauma, njaa inauma lakini Nyanjiga hakutokea. Zile hisia zote za usiku kwamba leo nitakuwa na Nyanjiga zimekwenda bila kujibiwa. Ule wimbo wa mtoto Sonia, leo nimeimba bure daah, kufanya usafi na kutandika kote kule? (Godoro naweka kwenye jamvi). Hadi saa 10 na madakika mengi nikaamua kuondoka tu nikiwa nimekata tamaa.

Nilifika nyumbani, nikawasha jiko la Mchina nikapika ugali, lakini kwa kweli ni kama hamu ya kula haikuwepo tena. Nyanjiga amenitawala, mara nimlaumu kwa kunidanganya, mara nimuone hana kosa. Mara nawaza tuachane, mara naona tuendelee tu. Nitamuacha kwa kosa gani, lakini kwa nini hakuja? Ahh, anyway nikakomba mboga, nikanawa na kutoa vyombo, hata bila kula vizuri. Baada ya hapo nikajilaza kwenye kigodoro changu japo nipumzike.

Nikiwa kwenye kigodoro hapo, hisia zilianza kunijia, mwili ukawa unahitaji Kanchude, ikafikia hatua naona kabisa nashindwa kuutawala uume wangu mwenyewe. Natamani Nyanjiga aje anioke lakini ndo hawezi kuja. Jamani kweli mapenzi na shule ni mlenda na chai.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

MUHTASARI KUHUSU MAKAMBI YA WASABATO.

Jirani na nilipokuwa nakaa, yalikuwa yanafanyika makambi ya Wasabatho ambayo yalikuwa yahitimishwe Jumamosi. Ili Jumapili kila mtu arudi alikotoka. Na Baadhi ya Wanamakambi walikuwa wamefikia pale nilipokuwa nimepanga. Walikuwa kama 11 Wamama 5, na wadada 6. Wanaume wao walikuwa wanalala kwenye ghala la pamba (Wao wanaita Stoo) na hapo stooni ndo makambi yalikuwa yanafanyika jirani na Kanisa la wasabatho la mahali hapo. Wenye ndugu walikuwa kwa ndugu zao. Nafikiri wasabatho wanaelewa. Ulikuwa Mkutano haswa.

Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

NAMI NAENDA KUSHIRIKI MAKAMBI YA WASABATO

……..Nikiwa kwenye kigodoro changu hapo, hisia za kufanya mapenzi zilianza kunijia, mwili ukawa unahitaji Kanchude, ikafikia hatua naona kabisa nashindwa kuutawala uume wangu mwenyewe. Natamani Nyanjiga aje anioke lakini ndo hawezi kuja. Jamani kweli mapenzi na shule ni mlenda na chai……’ sasa endelea….

Ilikuwa ni Saa 12 Kasoro, niliingia eneo la makambi ili niende kuushitaki uume mbele ya mchungaji. Maana nilifika pale nikiwa nimeweka mikono mfukoni, na hata nilivyo kuwa natembea ndugu, wanaume wenzangu mtakuwa mnajua. Hivo sasa! Nilisimama kona moja hivi, ghafla wimbo fulani ukapigwa, naukumbuka kidogo;

‘’ Mimi hapa natamani kumuona Yesu, akija kwa fahari nao Malaika. Usitamani ya dunia, kwani hayo ni ya muda kitambo, uifikirie kesho, ili nawe uwe mshindi. Ewe mwenzangu kazana, ili uwe katika lile kundi, litakalo vikwa na Yesu taji la Johari” (Hapa naomba uingize sauti ya kisabatho wakiwa wanaimba)

Kipindi huo wimbo unaendelea ghafla aligeuka dada mmoja, tukagonganisha macho. Ni moja ya wale wadada 6, waliokuwa pale kwa mother house wangu. Haikuwa sura ngeni kwa sababu tulikuwa tunaonana, nikitoka shule. Basi tukatizamana kidogo, afu akatoa uso. Mi jicho langu likabaki kwake. Then, ikaja sijui ndo kufungua sabatho. Basi wakafungua, saa 12 hivi. Walipomaliza nyimbo zikaendelea.

Katika kufungua sababtho, Yule mchungaji kuna maneno aliyasema, ambayo sikuyapenda, kama alikuwa ananiambia mimi jambo fulani. Kichwani, nimeanza kupanga namna ya kumpata huyu mdada, lakini mchungaji anahimiza maadili na kuepuka zinaa na uzinzi kwenye makambi, daaaah.

Ukweli neno liliningia, ila sasa nitafanyaje? Roho i-radhi, lakini mwili ni dhaifu. I must try the best of my luck.

Tulitawanyika, wakaanza kuondoka mimi nikamfuata Yule dada, tukaanza kwenda nae nyumbani, tumekaribia kuingia ndani ya uzio (Uzio wa Matete), nikamwambia naitwa Lugumya, sijui unaitwa nani? Naitwa Nyamumwi! Okay sawa.

Nyamumwi mimi nakupenda bn, na ukweli katika makambi haya sijaona mwanamke anayevutia kama wewe. Ikiwezekana….. (akanikatisha… mama huyo anakuja). Akakimbia kuingia ndani, huku akinambia baadae kwa sauti ya chinichini.

BAADAE INAFIKA.

Ikiwa ni mida ya saa mbili usiku nikaamua kukaa sehemu ambayo wakitoka lazima niwaone. Kweli walitoka, wote 11 plus wa pale nyumbani. Wakaenda, mi nikiwa ninachora ramani walipoenda kukaa, nikavutavuta kidogo lakini moyo ukiwa unanimbia mbona mida ndo hii. Lakini namtoaj pale kwenye kundi la Wenzake.

Akili ikiwa inaendelea kuchakata namna ya kumpata na kuongea nae. Nikapata wazo, tumia binti wa mother house, nikamwita alikuwa kwenye makambi pia (Msichana wa Darasa la 7), nikamuuliza unamfahamu Nyamumwi, akanambia ndiyo. Naomba ukamwite basi, mwambie namuita. Akasema poa.

Kweli wajumbe, akanifanikishia, akaja, tukatafuta kagiza, kule kwenye kagiza nilijaribu kumgusa akakataa. Akanamabia tutakutwa, wewe tangulia nyumbani, nitasema nakuja kujisaidia afu nitakuja kukusikiliza. Sawa? Nikasema sawa! Akaondoka

Mi nae mdogo mdogo getho, mlango nikaacha wazi. Kila baada ya dakika 3 nilikuwa natoka kwenye kagodoro kwenda kuchungulia, hollaaa, dak 2 nachungulia hollaa, nikaanza kujisemea ya Nyanjiga yanajirudia. Wadau hapo, uume hautambui tena kama kuna mtu anaitwa Nyanjiga bali unamtambua Nyamumwi. Ukawa unasimama, naukunjia kwa nyuma, naubana na miguu (Wanaume hii mnaijua vizuri tu hahahaha). Nikaamua sasa nikasimame mlangoni kabisa.

Sasa nikawa natoka mlangoni naenda nje kumchungulia kama anakuja, huku nikitembea uume umebanwa kwa nyuma. Chungulio la kwanza likuwa kapa, la pili kapa, ila la tatu, ukweli nilmuona anakuja. Kiroho cha hofu kikanipata, nikakimbia fasta kurudi kusimama kwenye mlango wa getho.

NYAMUMWI ANAINGIA GETHO NA KULIWA KIRIKIBOY, LUGUMYA APATA KICHAPO.

Alivofika, nikamshika mkono nikamkaribsha ndani, nikarudishia mlango ila sikuufunga. Tukakaa kwenye kigodoro changu, mimi nilichofanya ni kumlaza tu kwenye hicho kigodoro, tukalana mate, nikapenyeza vidole kwenye Underskirt kuitafuta chupi, kweli nikapata chupi nikaingiza kidole nikachezea chezea.

Kidogo tu akanambia ngoja nivue, akavua chupi tu, nyingine akazisogeza kwa juu, lakini maziwa nilikuwa nayashikia kwenye nguo humo humo. Mi nilivua, nikabaki na pensi, goma lilivoanza nikaivua kabisa hiyo pensi. Kipindi hicho hatukuwa tunavaa chupi. Nikaingia nikaanza kuchakata, yaani wajita wanakatika wewe asikwambie mtu. Waliowahi kuwala ni mashahidi.

Tukiwa tunakulana kumbe dirisha moja nilikuwa sijafunga top, zimebaki zile nyavu za kuzuia mbu, dirisha lenyewe lilikuwa dogo na chumbani kulikuwa giza na kimwanga hicho kidogo cha dirisha.

Ambacho hatukujua kipindi anakuja kuliwa, kumbe mtoto wa kiume (form 1) wa yule mother house alimuona. Kwa hiyo akamfuatilia na kubaini kuwa yuko room kwangu. Akaenda kumtonya mama yake. Sisi hatuelewi tunaendelea tu na mambo yetu. Maana nilipiga cha kwanza, nikaunga kutafuta cha pili.

Sasa utamu ukiwa umekolea, mtoto akawa anagugumia, kwa kilugha inulileeee, inulileeeee, inulile Lugumyaaa!, lugumya nanaaa, nana lugumyaaaa, lugumya aoooo, aoooo weee, aooooo weee, nkola lugumya, nkolaa enikwendaa, unana kisi wee, ahahhahahaah, Nyamumwi awe, basila wee! Ulyaki sinu go! Hahahahah! Mi nikawa napump tu. Yeye anaendelea kuongea kilugha chao, wajita nafikri wataelewa.

NACHEZEA KICHAPO.

Nikiwa naendelea kuyumba kwa mtani wangu wa majita Nyamumwi, nimejisahau kabisa kama tumejiiba tu, kumbe mother house alikuja na fimbo akasukuma mlango taratibu akaingia. Nilivyorudisha makalio juu ili nipush kuingia ndani nikakutana na kiboko huko juu na kushuka nacho. Pyaaa!, kingine tena pyaaaa!

Nikapiga kelele, mamaweeee, mamaweeee, nikajitoa nikachezea kichwani, nikapitia surauali kwenye kamba, kumbe nimechukua koti. Nikawa nakimbia navaa naona mguu haungii. Nikaingia kwenye chumba cha mpangaji mwenzangu ambaye alikuwa ni wanafunzi pia. Mguu huko kwenye mkono wa koti sehemu nyingine nimefichia makalio. Hakika niliumbuka. Jamaa akiniona, anacheka afu mm natetemeka, kukamatwa na mother house. Nitasomea wapi? wazazi wangu wakijua? Shuleni wakijua? Daaah!

Nikafungiwa kwenye hicho chumba, mother akaamru kifunguliwe hatukufungua. Akaongea sana hapo. Akanambia, kesho nihame hapo kwake. Asubuhi kulivokucha nikaingia room yangu, nikachukua suruali nikavaa, nikaenda kwa binamu yangu alikuwa anakaa kwenye hicho kijiji. Jumapili, wale wakaondoka. Mi nilirudi jioni. Nikawa namkwepa. Akaniona akaniita, nikaenda. Nilivofika, nilianza kulia, akanionea huruma. Nikabaki pale hadi nikamaliza Shule yangu.

Nyamumwi sijawahi kuonana nae tena. Yule jamaa niliyeingia chumbani kwake na koti badala ya surauali, akawasimulia wadau. Wakawa wananitania kwa jina la Bwn Kakoti. Nyanjiga yeye, kumbe aliugua maralia, ndo maana hakuja.

Naomba kuwasilisha

Lugumya.
Lugumya imebidi nicheke sana japo nimejitahidi kujizuia. Maza house alipoona unalia akajua kumbe huyu bado mtoto, akakuelewa
 
Wakuu kweli kutoboa peponi ni kazi just imagine


Kitaa napo stay kuna sehemu ina maduka makubwa yenye uhakika wa kupata karibu kila kitu unachokihitaji. Sasa kuna duka moja hua naenda kudaka mahitaji yangu mara kwa mara. Halafu kitaa sina mazoea kabisa na watu wengi hasa jinsia ya kike ni wadau wachache tu wa kiume ambao nao tumekutanishwa through football.
Nadhani ni ubize wa kazi na haiba yangu jinsi nilivyo ni mtu fulani mkimya sana kama hunifahamu umaweza kusema huyu jamaa ni mpendwa
Dah...

Huwa kuna ladha flan mkizoena na manzi bila kuvuana chupi.
Japo watu wengi huwa wanakuwa wagumu kuelewa.
Maana unapokuwa na Ke.. rafiki mkiwa pamoja mnacheka mnasikilizana asee ladha na sema tena ladha.
Ila ukisha mgonga tuu utaratibu wote unavurugika mawasiliano yanabadilika na visa vinaweza kuwepo .

Any way ukisha kuwa nae sanaa basi itakubidi ulambe asali yake tu.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Dah...

Huwa kuna ladha flan mkizoena na manzi bila kuvuana chupi.
Japo watu wengi huwa wanakuwa wagumu kuelewa.
Maana unapokuwa na Ke.. rafiki mkiwa pamoja mnacheka mnasikilizana asee ladha na sema tena ladha.
Ila ukisha mgonga tuu utaratibu wote unavurugika mawasiliano yanabadilika na visa vinaweza kuwepo .

Any way ukisha kuwa nae sanaa basi itakubidi ulambe asali yake tu.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu, unakua free sana na una enjoy sana.. Kuna moment fulani zinakua so fun, mfano unaweza mkawa mnaitana majina ya ajabu ajabu labda we kuku nime ku miss sana n.k
Pia mwanamke anakua anakuamini sana kuna issue zake personal ambazo hawezi kumwambia baba yake, kaka yake au mpenzi wake, ila wewe tu. Akitibuliwa huko sehemu ya kupata faraja ni kwako kiukweli ni raha sana na haya ndio mazingira niliyotaka kuyaweka bahati mbaya ndio hivyo nae akajiongeza tukajikuta tume chukuduana , japo game ya bila kupangwa nayo kuna raha yake kuliko ile ya kutongoza ni kama kufunga goli la ushindi dk ya 90+ kwenye world cup final
 
Mwanamke ni kama mtoto.ukimjalijali tu matokeo yake yatakushangaza
Nakubali mkuu kwa 100%.. Na usimjali mwanamke kama huna mpango wa kua nae kwa sababu the more you care the more she love..
Kuna mmoja aliwahi kuniambia kua aliolewa na mume wake kikawaida sana upendo ulikuwepo ila sio kivile. But alikaa ndani ya ndoa the more jamaa alivyokua ana care basi akajikuta anazidi kumpenda zaidi na zaidi now humwambii kitu.
 
Wakuu kweli kutoboa peponi ni kazi just imagine


Kitaa napo stay kuna sehemu ina maduka makubwa yenye uhakika wa kupata karibu kila kitu unachokihitaji. Sasa kuna duka moja hua naenda kudaka mahitaji yangu mara kwa mara. Halafu kitaa sina mazoea kabisa na watu wengi hasa jinsia ya kike ni wadau wachache tu wa kiume ambao nao tumekutanishwa through football.
Nadhani ni ubize wa kazi na haiba yangu jinsi nilivyo ni mtu fulani mkimya sana kama hunifahamu umaweza kusema huyu jamaa ni mpendwa
Sawa umepiga kimasihala ila siku nyingine usirudie kuharibu madili ya wanaume wenzio ...ukiona mwanaume mwenzio kategesha mtego wa pesa uheshimu .
 
Sawa umepiga kimasihala ila siku nyingine usirudie kuharibu madili ya wanaume wenzio ...ukiona mwanaume mwenzio kategesha mtego wa pesa uheshimu .
Upo sahihi lakini kuna fursa zingine zinakuja kabisa mdomoni mwako kinachobaki ni kumeza tu, huyu pisi sikutaka kabisa kumchukudu yeye mwenyewe ndo kasababisha itokee ilivotokea. Kuna vitu vingine vinakua out of control.
 
Wakuu kweli kutoboa peponi ni kazi just imagine


Kitaa napo stay kuna sehemu ina maduka makubwa yenye uhakika wa kupata karibu kila kitu unachokihitaji. Sasa kuna duka moja hua naenda kudaka mahitaji yangu mara kwa mara. Halafu kitaa sina mazoea kabisa na watu wengi hasa jinsia ya kike ni wadau wachache tu wa kiume ambao
Safi sana uandishi mzuri
 
Classmate wetu aliitisha bday party ya bwana ake, party ilikua ni surprise waliohudhuria wengi walikua classmates na wengine walikuja na watu wao. Kati ya classmate alikuepo Aisha kwa ile shule yetu pale Sinza alikua anaongoza kwa kua na matako makubwa.
Baharia ulikosea kukaa muda mrefu kwenye kabati ,ingekuwa mimi ni kushika ,kupima oil ,paka mate ,ingiza dushee ....sababu mule kwenye kabati mlikuwa na si zaidi ya dkika 5 ....

niko nashuka taratibu na huu uzi .....
bado sijawafikia ila baharia nakuja mdogomdgo
 
Watu mmepinda aseee

Perth Niwaheri adden Wanawake wengi sana wanapenda mno kupitishiwa ulimi kwenye njia yao ya haja kubwa, sema hawawezi kukiri hapa, wala kuwaambia boyfriends wao, wewe niwaheri inaonesha hujawahi kutana na mende professional, sio kila mdada anastahili kunyonywa mk**du, mdada akiwa msafi, ana makalio yenye shape nzuri na ngozi nzuri, ananyonywa tigo vizuri tu

Kuna mdada mmoja nlimnyonya kinyeo hadi alifika kileleni, alilala na ubavu wake wa kulia, mm nlikuwa nyuma yake nimelalia ubavu wa kulia, mikono yangu miwili imepanua makalio yake, huku ulimi wangu ukiwa unazunguka ndani na nje ya kinyeo chake, Alikua na makalio makubwa hlf malaini yenye ngozi nzuri, uso wangu ulikuwa umeingia karibu wote katikati ya makalio yake, nlikuwa naweka break ya sekunde kadhaa nje kidogo ya tako lake ili nisikose hewa, raha tulizokua tunaziskia wote ...hazielezeki, Wote tulikuwa tunatoa mihemo na miguno ya raha, mdada hakumaliza dakika 10 alikojoa na kufika kileleni.
 
Perth Niwaheri adden Wanawake wengi sana wanapenda mno kupitishiwa ulimi kwenye njia yao ya haja kubwa, sema hawawezi kukiri hapa, wala kuwaambia boyfriends wao, wewe niwaheri inaonesha hujawahi kutana na mende professional, sio kila mdada anastahili kunyonywa mk**du, mdada akiwa msafi, ana makalio yenye shape nzuri na ngozi nzuri, ananyonywa tigo vizuri tu

Kuna mdada mmoja nlimnyonya kinyeo hadi alifika kileleni, alilala na ubavu wake wa kulia, mm nlikuwa nyuma yake nimelalia ubavu wa kulia, mikono yangu miwili imepanua makalio yake, huku ulimi wangu ukiwa unazunguka ndani na nje ya kinyeo chake, Alikua na makalio makubwa hlf malaini yenye ngozi nzuri, uso wangu ulikuwa umeingia karibu wote katikati ya makalio yake, nlikuwa naweka break ya sekunde kadhaa nje kidogo ya tako lake ili nisikose hewa, raha tulizokua tunaziskia wote ...hazielezeki, Wote tulikuwa tunatoa mihemo na miguno ya raha, mdada hakumaliza dakika 10 alikojoa na kufika kileleni.
mamaeeee we jamaa kwamba ulimi unaingiza ndani na kutoa nje?? Yani pale kwenye tundu ulimi unausokomeza ndani ya kundu??
Yani unasikia raha gani kunyonya mkundu hadi utoe miguno?? we mafia.
 
Baharia ulikosea kukaa muda mrefu kwenye kabati ,ingekuwa mimi ni kushika ,kupima oil ,paka mate ,ingiza dushee ....sababu mule kwenye kabati mlikuwa na si zaidi ya dkika 5 ....

niko nashuka taratibu na huu uzi .....
bado sijawafikia ila baharia nakuja mdogomdgo

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Nilishasahau kama nimewahi andika humu
 
MUENDELEZO: NILIVYOWALA PIA KIMASIHARA MARIKI ZAKE JASMIN.

Ni asubuhi na mapema, ninashtuka usingizini nikiwa na uchovu mwingi. Kiuno kimechoka huku mikono na magoti vimechoka. Upande wangu wa kulia mwanadada mwembamba mrefu amenilalia kifuani wakati upande wa kushoto, binti mwenye unene kiasi, mfupi kiasi na nywele zake kazitia dawa na kuwa blonde amenilalia. Wote wapo ktk usingizi mzito.
Daah hii chai yenye ndimu kali ....ngoja nisubiri half cake
 
Leo nimekumbuka tukio ambalo mshkaji (tumuite T) alikula mzigo kimasihara kwa mdada wa M-PESA.

Mshkaji anafanya kazi katika bar yenye lodge akiuza chips. Siku ya tukio kuna jamaa alikuja na demu wake kwa ajili ya kugegeda akaagiza vinywaji na chips kuku hivyo tenda ikamuangukia T.

Bwana T alipokuwa anaendelea kuandaa jamaa akamwambia akancel oda yake ibaki ya bibie tu maana kuna simu ya muhimu imetoka ofisini kwake hivyo hataweza kula muda huo.

Baada ya kuandaa kila kituT akazama kwa bibie chumbani kumpelekea msosi wake wakati anataka kutoka mdada kamzuia akaomba amgegede maana genye zilikuwa zimemzid na jamaa hana plan ya kurudi tena.

T akajaribu kuresist lakini baada ya mwamba kupigiwa simu na kukiri kuwa hatarudi tena akamwomba demu asepe watapanga tena siku ikabidi T ale mzigo pale pale.

Hili tukio tangu jamaa anisimulie lilifanya mpaka leo niwe nahakikisha naweka simu silent au nazima kabisa kuepuka kuiacha mbususu kwa maharamia katika lodge kisa tu nimepigiwa simu.
 
Back
Top Bottom