Yote hapo majibu. Pia ongeza ubinafsi na roho mbaya ni moja pia ya sababu. Ndio maana mzazi anashindwa kujenga nyumba halafu anazaa anataka watoto ndio wamjengee.. hatuna utaratibu wa kua na dira.
Si mbwa tu wanyama wengi ni ngumu kushambulia mtu anayejiamini. Ukimface mnyama yeye mwenyewe anaogopa. Mbwa ukimpa mgongo ukamuhofia ndio anakushambulia kirahisi.
Kuni tulikua tunaenda kukata huko porini.
Makazi nyumba ipo hata kama ya udongo, Ndani kuna karanga zipo, maharage, mbog mboga hzi ni kitendo cha kwenda mtoni tu, hata ukinunua bei hazikua juu, mahindi yamejaa stoo. Bado kuna mifugo kuku, mbuzi etc. maisha ya zamani yalikua rahisi sana, sio...
Ninachoona ujamaa unalea uvivu yaani watu wa kusubiri kufanyiwa. Unaporaje shamba la mtu alilotumia muda na nguvu kuliandaa ili hali mapori bado yapo. Yaani ardhi nchi hii bado ipo ya kutosha sana tu.
Hell...
Nazungumzia hawa kama wanajiita sijui Watubaki na cheka tu. Naonaga matangazo yao kiukweli naona watu wanacheka vitu ambavyo hata havichekeshi.
Au ni mimi ndiye nina stress. Maana ule ni usimuliaji tena hata kwa vitu havichekeshi. Na style ni stori utotoni ilikua hivi mara vile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.