Recent content by Troublemaker

  1. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania House of the Dragon Special thread

    Epsode 1 season 3 ipo hewani sasa.
  2. Troublemaker

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania kuvaa nguo fupi inatafsiriwa ni uhuni ama umalaya?

    Hizo mila ndio wanatembea uchi kabisa.
  3. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona wazee wetu waliweza kukaa na familia na watu tofauti tofauti kwenye majumba yao nyinyi vijana wa kisasa mnakwama wapi?

    Kuni tulikua tunaenda kukata huko porini. Makazi nyumba ipo hata kama ya udongo, Ndani kuna karanga zipo, maharage, mbog mboga hzi ni kitendo cha kwenda mtoni tu, hata ukinunua bei hazikua juu, mahindi yamejaa stoo. Bado kuna mifugo kuku, mbuzi etc. maisha ya zamani yalikua rahisi sana, sio...
  4. Troublemaker

    JamiiForums Tanzania Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu na Whozu wabarikiwa Mtoto wa Kiume

    Hata mimi nina mashaka hata tumbo hatujaliona kwa mastaa wanavyopendaga kupiga picha tumbo liko wazi.
  5. Troublemaker

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya miaka 59 toka Said Mwamwindi amuue RC Dkt. Kleruu siku kama ya leo mwaka 1971

    Ninachoona ujamaa unalea uvivu yaani watu wa kusubiri kufanyiwa. Unaporaje shamba la mtu alilotumia muda na nguvu kuliandaa ili hali mapori bado yapo. Yaani ardhi nchi hii bado ipo ya kutosha sana tu.
  6. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa Standup Comedy wa Tanzania, nyie wana JF wanawachekeshaga?

    Huenda ndio maana vichaa wengi hucheka cheka?
  7. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa Standup Comedy wa Tanzania, nyie wana JF wanawachekeshaga?

    Sawa
  8. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa Standup Comedy wa Tanzania, nyie wana JF wanawachekeshaga?

    Hell... Nazungumzia hawa kama wanajiita sijui Watubaki na cheka tu. Naonaga matangazo yao kiukweli naona watu wanacheka vitu ambavyo hata havichekeshi. Au ni mimi ndiye nina stress. Maana ule ni usimuliaji tena hata kwa vitu havichekeshi. Na style ni stori utotoni ilikua hivi mara vile.
  9. Troublemaker

    JamiiForums Tanzania Waislam waliwanyima nyama ya Iddi Wakristo, Kontena zote zimeoza wamezitupa Pori la SUA

    Hata wangekua wanatoa siwezi kupanga foleni kwa ajili ya nyama ya msaada
  10. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimpa namba kwa huruma, kumbe ana heka heka

    Hivi aliyewaambia mtu kua mlemavu anapoteza haki zingine ni nani?
  11. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Ndugu zetu ktk Imani
  12. Troublemaker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Binti ana miaka 17... Mbona bado mtoto sana...
  13. Troublemaker

    JamiiForums Tanzania IGP Wambura: Wananchi na Polisi si makundi mawili tofauti, sisi ni wamoja

    Labda ccm na polisi.
Back
Top Bottom