Yote hapo majibu. Pia ongeza ubinafsi na roho mbaya ni moja pia ya sababu. Ndio maana mzazi anashindwa kujenga nyumba halafu anazaa anataka watoto ndio wamjengee.. hatuna utaratibu wa kua na dira.
Si mbwa tu wanyama wengi ni ngumu kushambulia mtu anayejiamini. Ukimface mnyama yeye mwenyewe anaogopa. Mbwa ukimpa mgongo ukamuhofia ndio anakushambulia kirahisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.