Recent content by Tripple MM

  1. T

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari hawataki muungano wanawafukuza wabara visiwani kwao

    hata kama ujumbe si umefika? muungano ni dude la hovyo hawalitaki
  2. T

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari hawataki muungano wanawafukuza wabara visiwani kwao

    hao waliondamana ni wa kwenu huko kebhanchabhancha? shuwain🚮🚮!
  3. T

    JamiiForums Tanzania Hata kama wanabeba Hivi unaweza kubeba watu wote hawa kila mkoa ? 😳

    nyumbu ni nyumbu tu hawezi kuwa ng'ombe.. haitakiwi akili kubwa kujua kilichofanyika hapo kukuaminisha nyumbu wewe eti hao ni watu wengi!🚮🚮
  4. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Askofu Bagonza: Uchaguzi umekwisha, tuonane mezani

    Dunia haiwezi kukamilika bila watu km wewe kuwepo..🚮
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto wazuri na zawadi ya iPhone

    hii nchi Ina vijana wa hovyo sana na wewe ponjoro ukiwemo maamae!
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mnaoagiza magari mmesikia hili

    ni ngwengwe mkuu..😁
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Jamhuri yakosa mashahidi!

    wewe mwekundu wa Sheria twambie...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Huyu kibaka hatonisahau kwa hii adhabu niliyompa

    mm nilistuka usingizini nikasikia km kitu kinabingirishwa nikajua tu ni jiwe la kuvunjia mlango linaitwa fatuma nikasogea mlangoni tartiiibu walipoanza kuhesabu 1,2, ile 3 wanarusha nikafungua mlango fatuma akabingirikia ndani nikafungua mlango nikarudi zangu kulala
  9. T

    JamiiForums Tanzania Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    mbona unaleta vigari VA kutumbukia tu? leta gari za kupanda.. sisi wengine hatutaki kutumbukia asee!
  10. T

    JamiiForums Tanzania Yajue mambo mazuri ya wakurya ambayo ulikuwa huyafahamu

    acha mambo yako wewe.. waryanchoka na wrya nini sijui si walikuwa wanauana km kuku si ukabila huo? na bado hawaelewani mpaka kesho
Back
Top Bottom