Recent content by TripleMz

  1. TripleMz

    CCM wamekosea kutumia M4C kumnadi Magufuli

    Meaning of Logo: Grouped into twos 1.logotype. A graphic representation or symbol of a company name, trademark, abbreviation, etc., often uniquely designed for ready recognition. 2.Logogram; A written symbol representing an entire spoken word without expressing its pronunciation; for example...
  2. TripleMz

    CCM wamekosea kutumia M4C kumnadi Magufuli

    Saidia jamani,Kwani CHADEMA wana nembo/logo ngapi? Je kuna tofauti gani Kati ya Abbreviation na Logo?
  3. TripleMz

    Kigezo cha dini katika mapenzi

    Kwanza wazazi kwenye mapenzi ya watoto,wao ni Kama mashahidi tu Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. TripleMz

    Kigezo cha dini katika mapenzi

    Acheni faraja za kibwege,maandiko hamsomi,"mtu atamwacha babaye na mamaye ataambatana na mumewe/mkewe na watakuwa mwili mmoja na watakuwa mmoja" hapo hakuna dini,dhehebu wala Kabila au rangi,Kwani adamu na hawa walikuwa dini gani wale!!??? Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. TripleMz

    Kagera: Wafariki kwenye Ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa...

    Ila nikweli,sometime we have to think in advance jamani,tufikirie kuwa na maboya maalumu ya kubatizia kwa wale tunaobatizia baharini au ziwani,sasa hao waliozama wame kwenda wapi, peponi au kuzimu??!' Manake wamezika utu wa zamani ila hawajaibuka tena ili kufufuka na Yesu!!!!....wasituzingue...
  6. TripleMz

    Kagera: Wafariki kwenye Ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa...

    Hahahahaha......uuuuwiiiiiiiii Sent from my iPhone using JamiiForums
  7. TripleMz

    Nahitaji mchumba wa kiume

    Enyi wana nyuzi... Msipende kukurupuka tu kujitokeza ovyo ovyo kwa wale wanaojifanya wanatafuta wachumba wa kiume...wengine ni WANAUME!!! Sasa wewe jichanganye ukaliwe jicho!! Sent from my iPhone using JamiiForums
  8. TripleMz

    Nahitaji mchumba wa kiume

    Wewe uliyeuliuza maana ya pm,pm ni kifupi cha "Private Message" Sent from my iPhone using JamiiForums
  9. TripleMz

    Natafuta mume

    Wanaume wote watakwambia wacha Mungu...ila mawazo yoote ni kwenye something between TWO legs Sent from my iPhone using JamiiForums
  10. TripleMz

    Natafuta mume

    Wewe mama nanii...sio unasema tu mcha Mungu mcha Mungu...umche Mungu Kwanza wewe...kisha muombe huyo huyo Mungu akupe mume mcha Mungu...na siyo kutafuta mume humu kwenye mitandao.....humu wote watakwambia wacha Mungu..unadhani kuna mtu anaeweza akasema yeye mcha shetani!!!! Sent from my iPhone...
  11. TripleMz

    Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

    Jiadhari dada na michepuko kokoto....muulize vizuri MP Vick!!! Sent from my iPhone using JamiiForums
  12. TripleMz

    Njia ya mtoto wa kike kuirudisha jinsia yake na kuwa kama bikra

    Kwanzaa nani anatabikra sasa hivi....ya nini....tabu ya nini kila siku uwe Unafanya kazni ya kutoa bikra then what!!!??? Sent from my iPhone using JamiiForums
  13. TripleMz

    Hebu nielezeni labda mie mshamba

    Kwanza wewe muongo!! Sent from my iPhone using JamiiForums
  14. TripleMz

    Wanawake wanaongozwa na emotion zaidi

    Mchunguze sana mwanamke anapovuka baraka akiwa na mtoto mdogo au peke yake...! Sent from my iPhone using JamiiForums
  15. TripleMz

    Hivi kwanini sisi wanaume wafupi hatupendwi na wanawake?

    Dooh ebwana nyie wakorofi!!! Sent from my iPhone using JamiiForums
Back
Top Bottom