Wanawake wanaongozwa na emotion zaidi

Wanawake wanaongozwa na emotion zaidi

mhalisi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,181
Reaction score
322
Inasemekana wanawake ni watu ambao maisha yao yamekuwa yakiendeshwa kwa emotion zaidi kuliko logic tofauti na walivyo wanaume.

Wadau nigependa tujadili jambo hili pamoja na kutoa mifano mbalimbali ya jinsi emotion inavyotawala maisha ya wanawake.
 
Uko sawa mkuu kwa asilimia nyingi
 
Inabidi ubalance equation

Na wanaume wanaongozwa na nini?
 
Inasemekana wanawake ni watu ambao maisha yao yamekuwa yakiendeshwa kwa emotion zaidi kuliko logic tofauti na walivyo wanaume.

Wadau nigependa tujadili jambo hili pamoja na kutoa mifano mbalimbali ya jinsi emotion inavyotawala maisha ya wanawake.

tuanze na wewe mleta mada..
 
Nilikua nikiiona fofiga madude yanapotea kumkichwaa

Hivi kwanini tulisomaga hayo makitu yote?

Back to topic, sayansi inatuambia muundo wa ubongo wa mwanaume na ule wa mwanaume unatofautiana. Wanawake are more emotional intelligent kuliko wanaume na maamuzi yao especially pale wanapohitajika kumhudumia au kumsaidia mtu wanatumia emotions zao na sio logic. Mwanamke ataempathize na kutekeleza maamuzi yake lakini most men wataanza kujiuliza nitapata nini nikifanya au nikifanya vile itakuwaje. Hata kama wanawake wanatumia emotions kufanya maamuzi sio kwamba watakuwa wrong, most of the time wanafanya maamuzi sahihi kabisa. And it is said wanawake ni wepesi zaidi katika kufanya maamuzi kuliko wanaume.
 
Yah ni kweli mfano unaweza uka solve tatizo la M'mke kwa kuchez na hisia zake tu kama kumliwaza tofaut na M'ume
 
Mchunguze sana mwanamke anapovuka baraka akiwa na mtoto mdogo au peke yake...!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom