Nahitaji mchumba wa kiume

Nahitaji mchumba wa kiume

Npo mie we sema tu.Jina langu naitwa joseph mbaga.Nina elimu ya chuo mwaka wa tatu sasa hv.Nasomea tax ktk chuo cha usimamiz wa fedha(IFM).Na naishi dar-es-salaam ila nimepanga.Na kwa umri wangu nina miaka 26.Na kwa mawasiliano zaid namba zangu za cm hz 0689 049244 au 0654 115326
Mmmh kwanini umeamua kumwaga mboga hadharani? Na muhusika amesema kama unaona unakidhi vigezo uende PM mpaka hapo huna vigezo maana mcha mungu haweki siri zake hadharani
 
Wewe uliyeuliuza maana ya pm,pm ni kifupi cha "Private Message"


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Enyi wana nyuzi... Msipende kukurupuka tu kujitokeza ovyo ovyo kwa wale wanaojifanya wanatafuta wachumba wa kiume...wengine ni WANAUME!!! Sasa wewe jichanganye ukaliwe jicho!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
mi naitwa asha naishi boko magengeni dar elimu yangu ni form iv natafuta mume wa kunioa ninamiaka 30 kazi yangu ni muuguzi nina mtoto mmoja sina mashariti yoyote anakaribishwa weka namba zako mi nitakupigia mwenyewe sifahamu mambo ya pm
 
mi naitwa asha naishi boko magengeni dar elimu yangu ni form iv natafuta mume wa kunioa ninamiaka 30 kazi yangu ni muuguzi nina mtoto mmoja sina mashariti yoyote anakaribishwa weka namba zako mi nitakupigia mwenyewe sifahamu mambo ya pm

Aisee saivi ndio unatoka shift ama? All the best
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom