Kigezo cha dini katika mapenzi

Kigezo cha dini katika mapenzi

afadhali yako wote ni wakristo daaa wengine tuna mitihani ya ajabu ajabu sijui mwisho wake
 
ila jamani tunapoanza urafiki tuwe makini...Sawa mtu aweza sikiza moyo wake na akaoa ila inategemea na familia yake ikovipi karibu nae...
Kuna familia nyingine inakuwa na kitim tim ...Utalazimisha kuoa lakni kila kukicha hutakuwa na amani na ndoa yako...

Wazazi watakutenga, Mawifi hawatampenda mkeo, halafu kama ilivyo ndoa ikishakaa miaka kadhaa hupungua upendo pengine kukawa na ugomvi mdogo mdogo, basi hapo ndipo watapatia chance watafanya makusudi kukutafutia mwanamke, au kumletea mume wanawake...na wewe mwanamke ukiingia mkingi tuu....Bass uliyemuoa unamuacha.

Sawa sikiza moyo wako, pia bembeleza wazazi wako wamkubali, wasipo mkubali hapo kaaazi..



Unaoa wewe wala si wazazi wako. Usikilize moyo wako kaka na ufanye maamuzi magumu.
 
sure..................



Kiukweli yapo mambo ambayo kimsingi ni muhimu kuzingati ktk kuchagua mwenza lazma uendane naye si kuokota tu

1. MWENENDO AU TABIA YAKE
2. HISTORIA YA FAMILIA YAKE MAANA WENGINE WACHAWI tehhhh
3. uelewa wake. Hapa elimu pia inaangaliwa
4. Dini yake....... Ni ngumu kumbadilisha mtu mtizamo wa dini yake katka utu uzima.. Atajilazimisha tu ili akupate.. Lakin kimsing imani yake bado itakuwa ktk dini iliyomlea

na ukweli ni kuwa watu waliooana kwa kubadilishana dini.... Mmoja akifariki au wakiachana kila mtu anarudi ktk dini yake ya awali
 
Haya madhehebu ni matatizo matupu ha Sabato na Jehova hawa ni wakristo wenye misimamo mikali sana. Hawaambiliki na hawabadiliki!
 
Haya madhehebu ni matatizo matupu ha Sabato na Jehova hawa ni wakristo wenye misimamo mikali sana. Hawaambiliki na hawabadiliki!

Sasa kwenda airport bila ticket wala passport na viza eti waende Ulaya hilo ni dhehebu au kundi la mataahira tu? Hawa ni mapunguani tu fullstop.
 
Hata Lucky Dube alijuta alichoambiwa na mamaye kuhusu kuoa akapuuza...ndio maana akaimba - It's Not Easy........

Conclusion: Wazazi wanaumuhimu sana katika maamuzi yako ya ndoa so ongea nao vizuriii.





Wazazi wana umuhim sana kwenye swala nyeti kama hilo binafsi sioni kama Kuna shida sana kwa sababu Kuna vitu vingi mtaendelea kushare kama familia hata mkiwa dini moja hamtaathirkka sana baada ya muda maisha yatakuwa sawa cha muhim kaa na wazazi uwaeleze upande mwingine wa mchumba wako huku ukijua kabisa kuwa wazazi kama Kuna kitu wanazuia kwako Mara nyingi husukumwa na hofu ya upendo kwamba mtoto wao asije pata shida baadae kwa hiyo ongea nao kwa umakini kama mchumba angekuwa Muslim hata mi ningesema piga chini
 
Aisee mimi bwana nina mpenzi wangu ambaye tunampango inshaallah miaka miwili ijayo tuoane.

Sasa nimejaribu kuleta hili swala kwa wazazi wangu japo sikuwa rasmi lakini wanaonekana kama hawajapenda na mipango yangu ya kuoa msichana mkatoliki wakati mimi ni sabato.

Msichana wangu hana tatizo juu kubadili dini lakini hata hivyo bado wazazi kama wanataka msabato pure.

Isitoshe huyo msabato sijampata bado ila huyu binti namjua vizuri mpaka wazazi wake.

Napata wakati mgumu na hili swala kwamba niwafurahishe wazazi au nafasi yangu?

Umeshauliza kwa mke mtarajiwa umeshakubaliwa isije nawao wakatia mgomo
 
Mh wazaz wanaumuhimu mkubwa sana...kuna mtu wanatafuta ata mzazi wa bandia ili tu amshauri ila anakosa so kuwa makini na ushauri wa wazazi
 
Acheni faraja za kibwege,maandiko hamsomi,"mtu atamwacha babaye na mamaye ataambatana na mumewe/mkewe na watakuwa mwili mmoja na watakuwa mmoja" hapo hakuna dini,dhehebu wala Kabila au rangi,Kwani adamu na hawa walikuwa dini gani wale!!???


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwanza wazazi kwenye mapenzi ya watoto,wao ni Kama mashahidi tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mnasumbuliwa na akili ndogo tu wala si bure, hata Yesu anawacheka maana hakuwaachia madhehebu na kama kuna andiko la dhehebu lako ndio analitambuwa Yesu nipe andiko na mimi nijiunge kwenye hilo kanisa lenu.

Hahahaa haaaa
Sema Wewe mkuu.
Wakristo hawajitambui.
Kuna mstari fulani hivi ndo huwa wanausimamia
Wa kuishika sabato
 
nilishakuwa na dem wa kigoma miaka fulani, nilimkuta bikra, nilimgegea mara kama kumi hivi, alikuwa anavaa ushungi mwili tii anavua tu anapokuja kwangu kupata huduma. kwasababu ya dini yake ya ISIS, nilimtegea kipindi cha ramadhan, nikamwambia kwasababu ya mfungu sitakusumbua hata kwa simu, nikabadilisha na line toka siku iyo sijui yuko wapi. nilikimbia na nilibahatika kuwa ndio nahama kikazi mji huo.
 
Swala la dini na imani ni gumu sana kila dini ina misingi yake Mkuu na sivyo unavyofikiria...ndo kwa sababy kukawepo na Uhuru wa dini na kuabudu hivyo kama mtu hakubaliani na misingi ya dini husika atahamia pale anapoona pana mfaa na si kubadilisha misingi ya dini/ dhehebu husika.
Niliyoandika hapo ndio msingi wa wasabato.

Yesu hakuleta dini wala dhehebu.
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu.
Christian is not a religion.....
Ni mahusiano kati ya Mungu na mwanadamu. ...Yesu alikuja kurudisha haya mahusiano yalivyokuwa yamepotea baada ya anguko la kwanza.
 
Haya madhehebu ni matatizo matupu ha Sabato na Jehova hawa ni wakristo wenye misimamo mikali sana. Hawaambiliki na hawabadiliki!

Umeona eeh!
Mi sielewi wanahubiri nn
Mfano, mashahidi wa jehova Eti mtu akiumwa ht km kapungukiwa damu marufuku kuongezewa...khaaaaa! Huwa nashangaa mpaka leo!

Wakristo wengi shetani kawabana hapo kwenye dini/dhehebu lkn neno lenyewe hawalijui wanatafusiri tofauti. ...unachukukuwa mstari 1 na unatolewa tafsiri. ...
Biblia inasema ' neno huuisha bali andiko huua'
Shida iko hapo.
 
Aisee mimi bwana nina mpenzi wangu ambaye tunampango inshaallah miaka miwili ijayo tuoane.

Sasa nimejaribu kuleta hili swala kwa wazazi wangu japo sikuwa rasmi lakini wanaonekana kama hawajapenda na mipango yangu ya kuoa msichana mkatoliki wakati mimi ni sabato.

Msichana wangu hana tatizo juu kubadili dini lakini hata hivyo bado wazazi kama wanataka msabato pure.

Isitoshe huyo msabato sijampata bado ila huyu binti namjua vizuri mpaka wazazi wake.

Napata wakati mgumu na hili swala kwamba niwafurahishe wazazi au nafasi yangu?
Kwani nyote si Wakristo, naona hakuna tatizo!
 
Back
Top Bottom