Unaoa wewe wala si wazazi wako. Usikilize moyo wako kaka na ufanye maamuzi magumu.
Kiukweli yapo mambo ambayo kimsingi ni muhimu kuzingati ktk kuchagua mwenza lazma uendane naye si kuokota tu
1. MWENENDO AU TABIA YAKE
2. HISTORIA YA FAMILIA YAKE MAANA WENGINE WACHAWI tehhhh
3. uelewa wake. Hapa elimu pia inaangaliwa
4. Dini yake....... Ni ngumu kumbadilisha mtu mtizamo wa dini yake katka utu uzima.. Atajilazimisha tu ili akupate.. Lakin kimsing imani yake bado itakuwa ktk dini iliyomlea
na ukweli ni kuwa watu waliooana kwa kubadilishana dini.... Mmoja akifariki au wakiachana kila mtu anarudi ktk dini yake ya awali
Haya madhehebu ni matatizo matupu ha Sabato na Jehova hawa ni wakristo wenye misimamo mikali sana. Hawaambiliki na hawabadiliki!
Wazazi wana umuhim sana kwenye swala nyeti kama hilo binafsi sioni kama Kuna shida sana kwa sababu Kuna vitu vingi mtaendelea kushare kama familia hata mkiwa dini moja hamtaathirkka sana baada ya muda maisha yatakuwa sawa cha muhim kaa na wazazi uwaeleze upande mwingine wa mchumba wako huku ukijua kabisa kuwa wazazi kama Kuna kitu wanazuia kwako Mara nyingi husukumwa na hofu ya upendo kwamba mtoto wao asije pata shida baadae kwa hiyo ongea nao kwa umakini kama mchumba angekuwa Muslim hata mi ningesema piga chini
Religion is Mankind Opium.
Aisee mimi bwana nina mpenzi wangu ambaye tunampango inshaallah miaka miwili ijayo tuoane.
Sasa nimejaribu kuleta hili swala kwa wazazi wangu japo sikuwa rasmi lakini wanaonekana kama hawajapenda na mipango yangu ya kuoa msichana mkatoliki wakati mimi ni sabato.
Msichana wangu hana tatizo juu kubadili dini lakini hata hivyo bado wazazi kama wanataka msabato pure.
Isitoshe huyo msabato sijampata bado ila huyu binti namjua vizuri mpaka wazazi wake.
Napata wakati mgumu na hili swala kwamba niwafurahishe wazazi au nafasi yangu?
Huwa natamani sana kujua haya madhehebu ya kikristo huwa yametofautiana wapi. Lutheran, Catholics, Protestants, etc.
Mnasumbuliwa na akili ndogo tu wala si bure, hata Yesu anawacheka maana hakuwaachia madhehebu na kama kuna andiko la dhehebu lako ndio analitambuwa Yesu nipe andiko na mimi nijiunge kwenye hilo kanisa lenu.
Swala la dini na imani ni gumu sana kila dini ina misingi yake Mkuu na sivyo unavyofikiria...ndo kwa sababy kukawepo na Uhuru wa dini na kuabudu hivyo kama mtu hakubaliani na misingi ya dini husika atahamia pale anapoona pana mfaa na si kubadilisha misingi ya dini/ dhehebu husika.
Niliyoandika hapo ndio msingi wa wasabato.
Haya madhehebu ni matatizo matupu ha Sabato na Jehova hawa ni wakristo wenye misimamo mikali sana. Hawaambiliki na hawabadiliki!
Kwani nyote si Wakristo, naona hakuna tatizo!Aisee mimi bwana nina mpenzi wangu ambaye tunampango inshaallah miaka miwili ijayo tuoane.
Sasa nimejaribu kuleta hili swala kwa wazazi wangu japo sikuwa rasmi lakini wanaonekana kama hawajapenda na mipango yangu ya kuoa msichana mkatoliki wakati mimi ni sabato.
Msichana wangu hana tatizo juu kubadili dini lakini hata hivyo bado wazazi kama wanataka msabato pure.
Isitoshe huyo msabato sijampata bado ila huyu binti namjua vizuri mpaka wazazi wake.
Napata wakati mgumu na hili swala kwamba niwafurahishe wazazi au nafasi yangu?
Mbona jambo dogo na hawa wanaotaka kuowana ni jinsia tofauti?Wakatoliki washaanza kutambua mashoga ,wasabato bado.
Tii hii hii, nawe kwa kununua bifu!!!Makubwa haya, atoke ukristo aingie ukristo? naona ni kama kuruka ... kukanyaga...
Halafu mkatoliki, ni Insha Allah.