Yaani kwa upoyoyo na kujipendekeza kwa viongozi wa tucta, ni dhahiri wapo kwa ajili ya matumbo yao tu na si maslahi mapana ya wafanyakazi. Hotuba zao zimedhihirisha upuuzi huo!!
Ila na wewe ndg yangu unachekesha mno! Yaani unatarajia fisadi namba moja nchi hii aweke mambo sawa? Yaani kwakweli!
Hivi c kuna watu wanadai ufisadi umepungua awamu ya tano chini ya Mzee misifa?
Watz co wajinga sana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.