Ha ha ha kuota kunaruhusiwaSiku ukisikia Moven pick inapandishwa bendera ya chadema baada ya kubadilika na kuwa makao makuu ya chama usimlilie mtu , Style inayoenda nayo chadema kwa sasa ni zaidi ya hatari .
Ha ha ha kuota kunaruhusiwaSiku ukisikia Moven pick inapandishwa bendera ya chadema baada ya kubadilika na kuwa makao makuu ya chama usimlilie mtu , Style inayoenda nayo chadema kwa sasa ni zaidi ya hatari .
Mmawia hizo takataka usijibizane nazo, do not waste your time!Hilo jengo ni mali ya chama
Mimi sina chama. Nimefananisha tu Ufipa na hapo.Kama nyinyi mnavyo ota kuwa ccm inapendwa wakati ndiyo watu wanazidi kuwachukia
Eeeenh, Erythro bhwanaah!Si rahisi kwa ccm hii ya kutegemea polisi na wasiojulikana kuijua mbinu ambayo chadema wanaenda nayo kwa sasa , kuna style ya chadema inaitwa Kansa style , inatafuna ccm ndani kwa ndani , mkija kustuka hakuna cha Muhimbili wala Ocean road .
Wanachadema naomba mnisamehe kwa kufichua siri hii
Kuiteketeza ccm jukwaani kunahitaji siku 7 tu , angalia jinsi Magufuli alivyoishiwa pumzi mbeya , ziara ya siku 8 akawa hana hata cha kueleza akabaki na maigizo , mara mama kadhulumiwa na vodacom Geita eti kamfuata Rais Mbarali !Eeeenh, Erythro bhwanaah!
Haya, tutasubiri mtakapokuwa tayari, lakini dalili sio nzuri sana kwenu.
Elewa, hatuwatakii mabaya, tunawaonea huruma tu mnavyozungushwa kama pia siku hizi bila ya majibu yoyote.
Huenda masharti ya mbinu hizo mpya ni kugeuza shavu la pili, au sio? Kwa kweli mmeonewa sana safari hii!
Basi, na tusiwaharakishe na harakati zenu hizo za kininja.
Hadi raha aiseeSiku ukisikia Moven pick inapandishwa bendera ya chadema baada ya kubadilika na kuwa makao makuu ya chama usimlilie mtu , Style inayoenda nayo chadema kwa sasa ni zaidi ya hatari .
Roho zinawaumaaaaaMambo yanazidi kuwa moto moto kwa wana cdm ktk kuendelea kujijengea majengo yao ya ofisi na sasa wana singida wamekamilisha ofisi yao.
Aluta kontinyua
View attachment 1087101View attachment 1087102
Mambo yanazidi kuwa moto moto kwa wana cdm ktk kuendelea kujijengea majengo yao ya ofisi na sasa wana singida wamekamilisha ofisi yao.
Aluta kontinyua
View attachment 1087101View attachment 1087102
Ni maandalizi ya kurejea kwa Lissu. Nahisi ndio patakuwa HQ baada ya Lissu kuchukua nafasi ya Uenyekiti wa Chama chetu.Hii ni nzuri kuliko makao makuu Ufipa
Siwezi kabisa kukubishia kwa hili, kwa sababu ni kweli tupu unayosema na sote tunaelewa hivyo, haqta CCM wenyewe wanajua ukweli huo.Kuiteketeza ccm jukwaani kunahitaji siku 7 tu , angalia jinsi Magufuli alivyoishiwa pumzi mbeya , ziara ya siku 8 akawa hana hata cha kueleza akabaki na maigizo , mara mama kadhulumiwa na vodacom Geita eti kamfuata Rais Mbarali !