client
JF-Expert Member
- Dec 13, 2015
- 661
- 846
Limetupa au limempa?tena funzo kwa gharama za maisha ya watu,This gay should be in jail
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima ni pande mbili za shilingi,huwez heshima asiyejiheshimumkuu jaribu kuwa na heshima kwa rais wa nchi kubwa kama hii tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Juwe alilenga kupiga, bila shaka alipiga parefuJiwe ana laana kila anachoshika anaharibu.
Hizo korosho ni hasara kwa kwenda mbele.
Alilenga kupiga ila pale amepigwa, korosho zinamuozea.Juwe alilenga kupiga, bila shaka alipiga parefu
Awamu hii kazi ya Rais ni .........na ya waziri ni......... 👇👇👇ingependeza kauli hiyo aitoe rais mwenyeweeeeeeeee na si waziri
mkuu jaribu kuwa na heshima kwa rais wa nchi kubwa kama hii tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu sio Rais ni Lais.mkuu jaribu kuwa na heshima kwa rais wa nchi kubwa kama hii tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mavuno yatatoka wapi wakati hela za kurudi shamba hazipo kwa mkulima?
sijajua labda nielezee mkuu. ...!mana sijawah kukaa katika nchi ambayo serikali imeshindwaHivi unajua maana ya serikali zilizoshindwa ?
rais ana wasaidizi wake katika sekta zoteingependeza kauli hiyo aitoe rais mwenyeweeeeeeeee na si waziri
mtu kama ana akili mwaka huu ndo wakupiga pesa ndefu vibaya mnoHili zao lishatiwa gundu, itachukua miaka mingi mpaka lirudi kwenye hali ya kawaida. Pesa za kugharamia process yote ya kuhudumia zao, pembejeo, uvunaji, usafiri nk zote zimekwenda na maji.