Anahitajika Binti wa kufanya kazi stationery,
SIFA:
Awe na uzoefu wa kufanya kazi stationery
Anajua kutumia computer
Mwaminifu
Awe na umri 20-25
Awe ni mkazi kati ya haya maeneo
Mbezi kimara, Kinyerezi Malamba Mawili na Segerea.
Mwenye SIFA hizo aje PM
Habari za mida wakuu!!
Wale wamiliki wa Nissan Dualis 2010, na wengine wenye ufahamu wa Bei ya wheel bearing za Nissan Dualis.
Gari yangu Kuna mlio unavuma kwenye miguu ya nyuma Sasa Kuna fundi nilimpelekea akacheki akaangalia akasema b
Wheel bearing zipo vizuri, aidha ni bearing za shaft ya...
Siyo urafiki tu Hadi undugu unapotea kidogo dogo,the way unavyozeeka ukaribu wako na watu hupungua,Hadi watoto wako baadae watakuwa bize na maisha Yao, kama ulikuwa Mume/Mke Bora utabakia na mke wako au Mume wako tu uzeeni.
Watalaamu tunaomba ufafanuzi Kila Daraja atapata nyongeza ya kiasi Gani wakuu.
Mf.
Daraja
A
B
C
D mpaka Mwisho.
Najua humu wapo watalaamu kabisa wa kujitolea kutupa Elimu ya hiyo nyongeza ya asilimia 35.1%
Naomba kuwasilisha
Kama upo mkoani na upo mwenyewe tafuta chumba kimoja na Kodi iwe 30,000/=kushuka.
Kama wife yupo mbali na wewe na Hana shughuli ya kufanya I mean na yeye hajaajiriwa yupo tu home mwite mje mjae wote. Ila akija ndo utapanga vyumba Viwili standard na Kodi isiwe kubwa zaidi ya 80k, mkiwa sehemu...
Ni rahisi sana maana takwimu zinakisanywa kuanzia ngazi Jumuiya, inaenda Kanda, Kanda inaenda parokiani,parokiani jimboni, makao makuu ya dini nchini then yanapaa kwenda Vatican, Sasa hapo Kila nchi inapeleka takwimu zake, zinajimlishwa kule Vatican. Na hii ni kwa wale waliokwisha batuzwa...
Kwa taarifa zilizo mtaani Kwa Sasa kwenye ishu ya magari, wadau wanauliza inakuwaje Subaru Forester zinaaanza kushuka Bei za Mauzo?
Wakuu tunaomba kujua Kuna nini kwenye ishu ya Subaru Forester?
Au wabongo wameshaanza kuyangorosha, matumizi mabaya ya uendeshaji?
Kuna jambo huwa najiuliza...
Wape chanjo, siku ya kwanza kutotoleshwa chanjo, siku Tano Newcastle, ugombolo, mwezi mmoja unamchanja Ndui,bàada ya hapo unaendelea na Newcastle na ugombolo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.