Wee em sema kweli?!Profile Picture Yako Ina thamani na inavutia kuliko Subaru Forester 😂😂😂
Huyo jamaa naona amepost hii mada yake ili apime upepo kwasababu mambo ya magari hayajuiUsilete habari za kuokoteza vijiweni, ilikuwa ngapi na imeshuka mpaka ngapi!?
Mazda CX-5 pambana ununue ya petrol kiongozi, hizi za Diesel zinachemsha sana.zina shida gani mkuu? mimi nina dualis mwaka wa nne sasa japo wanazikandia mimi haijawahi kunisumbua kihivyo maana najali sana service. hizi zina shida gani?
Haya nayo wataalam wanadai yenye ubora ni c x5 inayoanzia 2016 kwenda juu, lkn chini ya mwaka huo naona hata bei zake Kwa bongo used zimeshuka sana.Mungu nijalie nihamie kwenye mazda cx-5 mwaka huu maana ni gari nalolitamani katika cross overs
Barabara mbovu hata kama ni lami mafuta na mashimoKwa taarifa zilizo mtaani Kwa Sasa kwenye ishu ya magari, wadau wanauliza inakuwaje Subaru Forester zinaaanza kushuka Bei za Mauzo?
Wakuu tunaomba kujua Kuna nini kwenye ishu ya Subaru Forester?
Au wabongo wameshaanza kuyangorosha, matumizi mabaya ya uendeshaji?
Kuna jambo huwa najiuliza kwanini gari zikija bongo,zinaharibika haraka hivyo?
Swali je?
Ni kwamba watanzania wengi hatuna Elimu ya magari?
Je, uendeshaji wetu siyo makini?
Au miundominu yetu haviendani na vyombo vya usafiri tunavyonunua?
Au sisi ndo tunanunua magari yaliyozeeka sana yanakuja kutufia huku?
Maana ukiangalia gari nyingi used sehemu kubwa zilizotumika ni huko yalikotengenezwa, unakutana na gari imetembea Km 200,000, lakini ikifika hapa bongo hai huchukui hata mwaka imeshaenda garage zaidi ya mara mia.
Ila Kuna kautafiti Cha kawaida nimefanya nimegundua magari mengi yaliyopo garage ni Marika ya Vijana kuanzia 25-45 na hii hutokana na roughly driving.
Mwenye maoni zaidi.
Vijana tunanunua kwa mihemko bila kuangalia uhalisia wa kipato unachukua mkopo m25 unavuta gari mzee ananunua kwa saving na pesa ya ziada ambayo haiathiri mahitaji yake mengine pia mzee wa 50+ si gari yake yakwanza akienda anabadirisha kwa kupanda,Hata ukifuatilia magari mengi yaliyopo garage ni ya Vijana, ila wamiliki wa magari kuanzia umri wa 50+ hawakuti sana.
age hiyo ya juu hawanunui mikweche. Utakuta wanamiliki chuma kv Ford Raptor, Prado TX latest, LC 200s & 300s nk. Garage wanaenda tu Victoria Service Station kubadili fuels. Machalii leteni Mwenge magereji tupige nyundo hayo mawishbornHata ukifuatilia magari mengi yaliyopo garage ni ya Vijana, ila wamiliki wa magari kuanzia umri wa 50+ hawakuti sana.
Yes mafundi washaniambia hili pia kuwa chini ya hapo yana changamoto nyingi.Haya nayo wataalam wanadai yenye ubora ni c x5 inayoanzia 2016 kwenda juu, lkn chini ya mwaka huo naona hata bei zake Kwa bongo used zimeshuka sana.
Dualis Hamna gari mule.zina shida gani mkuu? mimi nina dualis mwaka wa nne sasa japo wanazikandia mimi haijawahi kunisumbua kihivyo maana najali sana service. hizi zina shida gani?
ninayo mwaka wa nne ila nakili si gari nawez akumshauri mtu anunue hasa kama ni rough driver. inataka kubembelezwa na kupetiwa petiwa na uhakikishe unaipiga service on time otherwise utalipaki tu hapo likiwa limeua gearbox hasa.Dualis Hamna gari mule.