Recent content by Trab na Trat

  1. Trab na Trat

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    https://www.jamiiforums.com/threads/vodacom-tanzania-ni-kielelezo-cha-huduma-mbovu-za-mawasiliano.2060480/
  2. Trab na Trat

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tangu jumamosi Jioni 21 January 2023 kasi ya internet ilishuka ghafla kwenye eneo la Chigongwe ktk halmashauri ya Jiji la Dodoma. Maeneo mengine yaliyo athirika ni Kigwe na Msembeta. Sijui mko wapi.
  3. Trab na Trat

    Vodacom Tanzania ni kielelezo cha huduma mbovu za mawasiliano

    Hawa watu hawajali kabisa wateja wao hasa wanaoishi kwenye maeneo ya kipato cha chini. Kuanzia Jumamosi Jioni, huduma za internet zilishuka ghafla katika eneo la Chigongwe - Halmashauri ya Dodoma Jiji. Mpaka hivi leo huduma za internet zinasua sua na taarifa wanazo ila wameamua kupuuza...
  4. Trab na Trat

    Mayele anaweza kuwa kama Haaland akirekebisha vitu vidogo tu

    Usimfananishe Mayele na vitu vya ajabu.
  5. Trab na Trat

    Watoto huwa wanacheza michezo hatari sana!

    Wewe ndo huelewi unaropoka tu huna evidence.
  6. Trab na Trat

    Mwanachama mpya naomba mnipokee

    ile acc yako ya zamani wameipiga ban au umeamua kuwa na 2?
  7. Trab na Trat

    Watoto huwa wanacheza michezo hatari sana!

    Watoto SIO malaika, watoto ni watoto na malaika ni malaika.
Back
Top Bottom