Tangu jumamosi Jioni 21 January 2023 kasi ya internet ilishuka ghafla kwenye eneo la Chigongwe ktk halmashauri ya Jiji la Dodoma. Maeneo mengine yaliyo athirika ni Kigwe na Msembeta.
Sijui mko wapi.
Hawa watu hawajali kabisa wateja wao hasa wanaoishi kwenye maeneo ya kipato cha chini.
Kuanzia Jumamosi Jioni, huduma za internet zilishuka ghafla katika eneo la Chigongwe - Halmashauri ya Dodoma Jiji.
Mpaka hivi leo huduma za internet zinasua sua na taarifa wanazo ila wameamua kupuuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.