Mwanachama mpya naomba mnipokee

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,831
Jamiiforums ndomara yangu ya kwanza kujiunga Naombeni mnipe ushirikiano jamani.

Bado sijaweka avatar yangu ila nikipata nitaweka, nitakuwa msomaji mzuri wa kila jukwaa japo jukwaa la siasa napenda sana. Lugha za matusi na kejeli sipendi, natoa tahadhari kabisa, nashauri mods muwe mnapiga permanent ban kwa watu wenye kebehi na matusi.
 
Jamiiforums ndomara yangu ya kwanza kujiunga Naombeni mnipe ushirikiano jamani.

Bado sijaweka avatar yangu ila nikipata nitaweka, nitakuwa msomaji mzuri wa kila jukwaa japo jukwaa la siasa napenda sana lugha za matusi na kejeli sipendi natoa Tahadhari kabisa nashauri mods muwe mnapiga permanent ban kwa watu wenye kebehi na matusi
napenda sana lugha za matusi na kejeli
 
Jamiiforums ndomara yangu ya kwanza kujiunga Naombeni mnipe ushirikiano jamani.

Bado sijaweka avatar yangu ila nikipata nitaweka, nitakuwa msomaji mzuri wa kila jukwaa japo jukwaa la siasa napenda sana lugha za matusi na kejeli sipendi natoa Tahadhari kabisa nashauri mods muwe mnapiga permanent ban kwa watu wenye kebehi na matusi
Unapenda lugha za matusi

Hii akili yako kiboko 🙌🏻
 
Jamiiforums ndomara yangu ya kwanza kujiunga Naombeni mnipe ushirikiano jamani.

Bado sijaweka avatar yangu ila nikipata nitaweka, nitakuwa msomaji mzuri wa kila jukwaa japo jukwaa la siasa napenda sana lugha za matusi na kejeli sipendi natoa Tahadhari kabisa nashauri mods muwe mnapiga permanent ban kwa watu wenye kebehi na matusi
wewe ni dog dog 🐕
 
Jamiiforums ndomara yangu ya kwanza kujiunga Naombeni mnipe ushirikiano jamani.

Bado sijaweka avatar yangu ila nikipata nitaweka, nitakuwa msomaji mzuri wa kila jukwaa japo jukwaa la siasa napenda sana lugha za matusi na kejeli sipendi natoa Tahadhari kabisa nashauri mods muwe mnapiga permanent ban kwa watu wenye kebehi na matusi
ile acc yako ya zamani wameipiga ban au umeamua kuwa na 2?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom