Habari wanajamvi hususani kona hii ya urembo, mitindo na utanashati,
Msaada jamani uso wangu unajaa sana mafuta. Mfano naweza nisipake chochote kile ila dk 2 tu unajaa mafuta tena kama jua likiniangaza kidogo tu. Utafikiri nimejipaka kopo zima la babycare.
Naomba ushauri nitumie nini ili...
Habari wana jamvi,..naomba kupata list ya best international school zilizoko jijini Dar-es-Salaam zenye boarding kwa primary level. Kama pia utaweza kulist out Ada yake pia ntashukuru. Shule yenye level Kama Feza.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.