Recent content by Topd

  1. Topd

    Kashfa: Tigopesa wanadhulumu hela za wateja?

    Mimi pia nina dukuduku kuhusu awo Tigo Naomba nipunguze jaziba kwanza...ntarudi kulitoa.
  2. Topd

    Nimechoshwa na ubunifu wa fundi huyu..!

    Swadakta,...!! Uyo fundi uyo???
  3. Topd

    Msaada wa link za movie

    Bitorrent
  4. Topd

    Kupunguza mafuta usoni

    Habari wanajamvi hususani kona hii ya urembo, mitindo na utanashati, Msaada jamani uso wangu unajaa sana mafuta. Mfano naweza nisipake chochote kile ila dk 2 tu unajaa mafuta tena kama jua likiniangaza kidogo tu. Utafikiri nimejipaka kopo zima la babycare. Naomba ushauri nitumie nini ili...
  5. Topd

    Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

    Staying under one roof,....!!! Hujaoa mzee
  6. Topd

    International school in Dar-es-salaam yenye boarding kwa primary level

    Izi Ni academy school...Mimi nahitaji international school Kama Feza ivi.. Asante
  7. Topd

    International school in Dar-es-salaam yenye boarding kwa primary level

    Habari wana jamvi,..naomba kupata list ya best international school zilizoko jijini Dar-es-Salaam zenye boarding kwa primary level. Kama pia utaweza kulist out Ada yake pia ntashukuru. Shule yenye level Kama Feza. Asanteni.
  8. Topd

    Binti wa stationery

    Mimi apa
Back
Top Bottom