Recent content by Top for B

  1. Top for B

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anataka kuoa na watu 8 tu wahudhurie harusi yake, ila wazazi hawataki wakidai wamechangia sana wengine

    Waambie huna pesa kama hizo pesa zao za michango zitatosha kila kitu bila kuongeza hata mia upo tayari
  2. Top for B

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Nenda kwa mwenyekiti wa mtaa au balozi, hawa watu ukifika ukiwaelezea hii story lazima watakuunganisha na wazee wakongwe wa hilo eneo ambao watakusaidia kujua mama yako alipokua akifanya kazi
  3. Top for B

    JamiiForums Tanzania Mrejesho juu ya swala langu la ukosefu wa nguvu za kiume

    Wakati unaendelea na tizi leta 30k nikupe hii mashine inasimama dede wiki nzima
  4. Top for B

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Mbona kama ukienda alipokua anafanyia kazi mama yako utampata huyu baba kirahisi sana kuliko mtandaoni?
  5. Top for B

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    Mkuu binadamu tuna uwezo mkubwa sana wa kufanya jambo lolote, Haya magereza yaliundwa na watu wenye akili nyingi kweli ili kufanya tusimjue Mungu Binadamu uwezo tulio nao ndio nguvu yenyewe ambayo wanaita mungu ila hakuna ambaye ataambiwa ukweli sababu kweli itamuweka kila mtu huru
  6. Top for B

    JamiiForums Tanzania Je kuna kimiminika,karainishi au mafuta ambayo yana kazi sawa na faida sawa kama za CONDOM?

    Ni booster hivyo sidhani kama ipo kwenye official system
  7. Top for B

    JamiiForums Tanzania Je kuna kimiminika,karainishi au mafuta ambayo yana kazi sawa na faida sawa kama za CONDOM?

    Dr naomba niambie kulingana na hizo content hapo ina madhara kiasi gan kwenye mwili Maana nimekutana nayo mtaani ukitumia mnara unakaa rada
  8. Top for B

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    Hizi huduma huwa wanaunga wenyewe, kuna siku nimekatwa pesa namuuliza muhudumu aniambie nimejiunga lini ananiambia nimejiunga jana yake, na mimi hakuna namna nilijiunga na huduma zao kwa huo muda Washenzi sana
  9. Top for B

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada ya Hospital nzuri ya meno Dodoma

    Wakuu nina jino la uzeeni limeota mwisho kabisa upande wa juu. Mwanzo nimelivumilia nikajua likiota litapona maumivu, ila yamezidi na nikigusa naona jino linatokezea kwa pembeni nje ya usawa wa mengine. Naomba kujuzwa hospital nzuri ya meno kwa Dodoma yenye gharama nafuu
  10. Top for B

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi; Mufti Zubeir: Huu ni mwaka wa uchaguzi Allah alimuuliza Mtume Muhammad SAW kati ya Ahera na Dunia utachagua nini? Mimi ningechagua ahera

    FREE TUNDU ANTIPAS LISSU NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS...
  11. Top for B

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi; Mufti Zubeir: Huu ni mwaka wa uchaguzi Allah alimuuliza Mtume Muhammad SAW kati ya Ahera na Dunia utachagua nini? Mimi ningechagua ahera

    FREE TUNDU ANTIPAS LISSU NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS...
  12. Top for B

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi; Mufti Zubeir: Huu ni mwaka wa uchaguzi Allah alimuuliza Mtume Muhammad SAW kati ya Ahera na Dunia utachagua nini? Mimi ningechagua ahera

    FREE TUNDU ANTIPAS LISSU NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS...
  13. Top for B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuna kampeni za ku-unfollow page za wanaopinga mabadiliko, naenda kwa Rais Samia na wote serikalini wanaopinga mabadiliko

    FREE TUNDU ANTIPAS LISSU NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS...
  14. Top for B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wananchi wacharuka na comment za 'No Reforms, No Election' kwenye page za Viongozi na Taasisi za Umma ikiwemo post ya Eid ya Rais Samia

    FREE TUNDU ANTIPAS LISSU NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS...
Back
Top Bottom