Always be a man and stand back your ground,wanawake ni muhimu kwa mwanaume lakini usiwaweke mbele zaidi,fanya kazi kwa bidii tafuta pesa na si kwa ajili ya wanawake ni kwa ajili ya maisha yako.
Habarini Wana JF.
Naomba msaada kuna ndugu yangu anasumbiliwa na ganzi hasa mikononi miguuni.
Na mara inamtokea wakati wa usiku, na wakati mwingine inaambatana na maumivu ya kichwa.
Hali hiyo imemtokea baada ya kuhama mkoa na ameenda hospital kachek pressure iko vizuri
Kapewa dawa za vitamin...
Kuhama kati ya semist hua si rahic,lakini pia matokeo kua confirmed inategemeana na system zao nacte..wakat mwngine hua inachelewa kua confirmed..uhamisho mwisho wa unakuwa ni rahisi kwa sababu hata deadline yake inakua ndefu..nafkiri sahivi dirisha wamefunga tayari.
Wanasema "body bulding is journey" ili kuhakikisha una maintain uzito inahitaji muda hasa kwa wale wanene kupitiliza..lakn kuna key principle ambazo unaweza kutembea nazo ili kuhakikisha unakua na mwonekano wa kawaid a yan mediam kama wengi wanavyopenda,vyakula vya viwandan kama soda,biscut na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.