Ushauri wa mazoezi na diet

acha kula wanga kabisa na sukari kwa mwezi mzima mazoei kidogo tu sio yale ya kujichoshaaa, utanishukuru baadae.

mimi nilianza rasmi diet may 2021. kufikia October nikapungua 15kg. nipo na maintain nao. nilikuwa 104kg sasa 89kg. niataanza tena baadae.target 80kg

kula proten za wanyama kula mpaka ushibe(nyama aina zote mradi inaliwa na binadamu)
nuts za kwenye miti (korosho etc)
mayai
samaki kula mpaka ushibe
mboga za majani zinazoota juu(cabbage, mchicha, spinachi na nyinginezo) kula mpaka ushibe
boga
matunda ni parachichi na tango tu. usile yale yenye sukari sijui Maembe mananasi,

kunywa maji

mazoezi kidogo uwe fit please consistency ni muhimu

nakutakia mema
mwalimu wako na wangu nadhani ni mwalimu mmoja.
keep it going
 
Nimeanza jogging sasa nna week moja! Kila jioni nakimbia 3.5 km! Sema mimi nafanya kujiweka tu fit, sina kitambi wala unene!Huwa sili chips kabisa na vyakula vya mafuta, pia situmii soda, bia!! Ila mazoezi ukiyazoea inageuka furaha yako! Kama una mda fanya mazoezi!
safi sana
 
Hakuna zoezi linakata kitambi kama jogging.

Miezi mitatu pekee imenitosha kupunguza kitambi chote.
 
Wanasema "body bulding is journey" ili kuhakikisha una maintain uzito inahitaji muda hasa kwa wale wanene kupitiliza..lakn kuna key principle ambazo unaweza kutembea nazo ili kuhakikisha unakua na mwonekano wa kawaid a yan mediam kama wengi wanavyopenda,vyakula vya viwandan kama soda,biscut na pipi unatakiwa kuanza kupunguza taratibu.
Anza kupendelea zaid vyakula vya asili kama karanga,asali,mbogamboga matunda na kadhalika.
Anza kupunguza vyakula vya kukaangizwa kama chips,nyama,kitimoto na kadhalika.
Nafaham kuacha moja kwa moja si rahisi lakin kwa kupunguza inaweza kukusaidia pia..
Anza kupendelea kunywa maji kwa wingi hasa siku ukiwa nyumbani .
Anza kufanya Mazoez madogo madogo siku ambazo upo free hom kama vile kunyoosha kiuno,kuinamaa,kukaa,kuruka kamba,kuruka juu na push up kidgo
Penda kutembeaa kwa miguu au tumia baiskelii just kupiga round tuu siku za weekend
Jiunge n'a joging clab au kimbia ww mwenyewe pale unapopata nafasi
Punguza ngono kama kijana..utaishi maisha ya aman n'a furaha.
Asanten.
 
Nimeanza jogging sasa nna week moja! Kila jioni nakimbia 3.5 km! Sema mimi nafanya kujiweka tu fit, sina kitambi wala unene!Huwa sili chips kabisa na vyakula vya mafuta, pia situmii soda, bia!! Ila mazoezi ukiyazoea inageuka furaha yako! Kama una mda fanya mazoezi!
Hapo kwenye kuacha chips sasa
 
Kwa wale mnaoishi maisha ya gym na diet, vip mabadiliko ya miili mnayaona?? Tunaomben ushauri hapa mazoezi yapi tufanye, diet twende nayo vip, ili kupunguza kilo maana zimeongezeka kwa kasi..
Pole sana ila bora umewai kabla haujanenepa kupitiliza.
Kwenye swala la chakula
1. acha vitu vya sukari na matumizi ya sukari kabisa
Soft drinks achana nazo, beer, juice za viwandani nk

2.Acha kula wali, ikitokea umekula wali basi kheri ule mchana na sio usiku. Kama unapenda wali basi kula brown rice

3. Acha kula vitu vya kukaanga, chemsha au choma
4. Jitahidi ule masaa mawili kabla ya kulala.
5.Kunywa maji ya kutosha.

Kwenye swala la mazoezi mwezi kabla ya kuanza gym
1.Kabla ya kuanza gym, anza kwa kutembea angalau nusu saa kila siku
2. Ruka kamba at least dakika 15 kila siku
Hii itakusaidia hata ukiwa teari kwenda gym mwili unakuwa mwepesi kidogo, na mwili unakuwa ushazoea mazoezi kwaio uta enjoy.

Faida za kwenda gym
1. Kutoa pesa inauma, ukitoa pesa yako itakua inakuuma kukosa kwenda mazoezi, kwaio kile kitendo cha kuwa na uchungu kitakusaidia usi miss mazoezi na mwishowe utaona mabadiliko
2. Gym kuna watu wengi, yani uwezi fika wenzio wote wapo busy na mazoezi wewe una chat au umelala, kwaio utaona aibu
3. Competition, utakutana na watu wanaopambana kama wewe kupungua kwaio utajikuta unataka u compete nao na hivyo utaongeza jitihada
4. Inspiration, wana gym wataku inspire ufikie lengo lako

NB: Kuona mabadiliko binafsi inachukua mpaka week 3, utaanza kujiona umekuwa mwepesi, kuna nguo zilikua hazikutoshi zinaanza kukuenea, mashavu kupungua nk

Inachukua miezi 3 watu wengine kukuona kuwa umepungua, hivyo usikate tamaa ukiona kama watu hawakusifiii
 
Pole sana ila bora umewai kabla haujanenepa kupitiliza.
Kwenye swala la chakula
1. acha vitu vya sukari na matumizi ya sukari kabisa
Soft drinks achana nazo, beer, juice za viwandani nk

2.Acha kula wali, ikitokea umekula wali basi kheri ule mchana na sio usiku. Kama unapenda wali basi kula brown rice

3. Acha kula vitu vya kukaanga, chemsha au choma
4. Jitahidi ule masaa mawili kabla ya kulala.
5.Kunywa maji ya kutosha.

Kwenye swala la mazoezi mwezi kabla ya kuanza gym
1.Kabla ya kuanza gym, anza kwa kutembea angalau nusu saa kila siku
2. Ruka kamba at least dakika 15 kila siku
Hii itakusaidia hata ukiwa teari kwenda gym mwili unakuwa mwepesi kidogo, na mwili unakuwa ushazoea mazoezi kwaio uta enjoy.

Faida za kwenda gym
1. Kutoa pesa inauma, ukitoa pesa yako itakua inakuuma kukosa kwenda mazoezi, kwaio kile kitendo cha kuwa na uchungu kitakusaidia usi miss mazoezi na mwishowe utaona mabadiliko
2. Gym kuna watu wengi, yani uwezi fika wenzio wote wapo busy na mazoezi wewe una chat au umelala, kwaio utaona aibu
3. Competition, utakutana na watu wanaopambana kama wewe kupungua kwaio utajikuta unataka u compete nao na hivyo utaongeza jitihada
4. Inspiration, wana gym wataku inspire ufikie lengo lako

NB: Kuona mabadiliko binafsi inachukua mpaka week 3, utaanza kujiona umekuwa mwepesi, kuna nguo zilikua hazikutoshi zinaanza kukuenea, mashavu kupungua nk

Inachukua miezi 3 watu wengine kukuona kuwa umepungua, hivyo usikate tamaa ukiona kama watu hawakusifiii
Umetoa bonge la elimu. Pongezi kwa elimu ulompatia.
Nisilibe tuu
Mazoezi ni mazuri sana ila hayapunguzi mtu haraka kama chakula hasa wanga na sukari.
Niliwahi msimamia mtu katika kupunguza mwili.yan nkawa nafanya jukumu la kumpangia na kumwandalia vyakula vya vyakula kuanzia kifungua kinywa mpaka chakula cha usiku. Ndan ya mwezi mmoja kilamtu anamwambie sasa umepungua naumependeza.
Kupungua mwili ukiamua ni rahisi ila ikiwa kama unajilazimisha utaona tabu
 
Umetoa bonge la elimu. Pongezi kwa elimu ulompatia.
Nisilibe tuu
Mazoezi ni mazuri sana ila hayapunguzi mtu haraka kama chakula hasa wanga na sukari.
Niliwahi msimamia mtu katika kupunguza mwili.yan nkawa nafanya jukumu la kumpangia na kumwandalia vyakula vya vyakula kuanzia kifungua kinywa mpaka chakula cha usiku. Ndan ya mwezi mmoja kilamtu anamwambie sasa umepungua naumependeza.
Kupungua mwili ukiamua ni rahisi ila ikiwa kama unajilazimisha utaona tabu
kabisa
 
acha kula wanga kabisa na sukari kwa mwezi mzima mazoei kidogo tu sio yale ya kujichoshaaa, utanishukuru baadae.

mimi nilianza rasmi diet may 2021. kufikia October nikapungua 15kg. nipo na maintain nao. nilikuwa 104kg sasa 89kg. niataanza tena baadae.target 80kg

kula proten za wanyama kula mpaka ushibe(nyama aina zote mradi inaliwa na binadamu)
nuts za kwenye miti (korosho etc)
mayai
samaki kula mpaka ushibe
mboga za majani zinazoota juu(cabbage, mchicha, spinachi na nyinginezo) kula mpaka ushibe
boga
matunda ni parachichi na tango tu. usile yale yenye sukari sijui Maembe mananasi,

kunywa maji

mazoezi kidogo uwe fit please consistency ni muhimu

nakutakia mema
Naachaje kula ugali mimi😭😭😭
 
Pole sana ila bora umewai kabla haujanenepa kupitiliza.
Kwenye swala la chakula
1. acha vitu vya sukari na matumizi ya sukari kabisa
Soft drinks achana nazo, beer, juice za viwandani nk

2.Acha kula wali, ikitokea umekula wali basi kheri ule mchana na sio usiku. Kama unapenda wali basi kula brown rice

3. Acha kula vitu vya kukaanga, chemsha au choma
4. Jitahidi ule masaa mawili kabla ya kulala.
5.Kunywa maji ya kutosha.

Kwenye swala la mazoezi mwezi kabla ya kuanza gym
1.Kabla ya kuanza gym, anza kwa kutembea angalau nusu saa kila siku
2. Ruka kamba at least dakika 15 kila siku
Hii itakusaidia hata ukiwa teari kwenda gym mwili unakuwa mwepesi kidogo, na mwili unakuwa ushazoea mazoezi kwaio uta enjoy.

Faida za kwenda gym
1. Kutoa pesa inauma, ukitoa pesa yako itakua inakuuma kukosa kwenda mazoezi, kwaio kile kitendo cha kuwa na uchungu kitakusaidia usi miss mazoezi na mwishowe utaona mabadiliko
2. Gym kuna watu wengi, yani uwezi fika wenzio wote wapo busy na mazoezi wewe una chat au umelala, kwaio utaona aibu
3. Competition, utakutana na watu wanaopambana kama wewe kupungua kwaio utajikuta unataka u compete nao na hivyo utaongeza jitihada
4. Inspiration, wana gym wataku inspire ufikie lengo lako

NB: Kuona mabadiliko binafsi inachukua mpaka week 3, utaanza kujiona umekuwa mwepesi, kuna nguo zilikua hazikutoshi zinaanza kukuenea, mashavu kupungua nk

Inachukua miezi 3 watu wengine kukuona kuwa umepungua, hivyo usikate tamaa ukiona kama watu hawakusifiii
Hapo pa kuacha sukari, inamaana hata chai hutakiwi kunywa, au inakuaje mkuu
 
Ni kweli. Mazoezi nayo wito😀😀...nikifanya leo inapita wiki sijafanya, haileti matokeo mazuri
jiwekee zawadi, tafuta kitu ambacho unakipenda alafu jiahidi kujizawadia ukikamalisha kitu ambacho ni kigumu kwako kukifanya.
 
jiwekee zawadi, tafuta kitu ambacho unakipenda alafu jiahidi kujizawadia ukikamalisha kitu ambacho ni kigumu kwako kukifanya.
Kama ninachokitaka kipo nje ya uwezo wangu inakuaje? Labda mtu aniahidi zawadi
 
Back
Top Bottom