tonylast
Member
- Jun 26, 2019
- 70
- 46
Habarini Wana JF.
Naomba msaada kuna ndugu yangu anasumbiliwa na ganzi hasa mikononi miguuni.
Na mara inamtokea wakati wa usiku, na wakati mwingine inaambatana na maumivu ya kichwa.
Hali hiyo imemtokea baada ya kuhama mkoa na ameenda hospital kachek pressure iko vizuri
Kapewa dawa za vitamin B complex
Lakin hali bado hali inaendelea.
Kwa mwenye uzoefu na Tatizo hili naomba msaada tafadhali.
Naomba msaada kuna ndugu yangu anasumbiliwa na ganzi hasa mikononi miguuni.
Na mara inamtokea wakati wa usiku, na wakati mwingine inaambatana na maumivu ya kichwa.
Hali hiyo imemtokea baada ya kuhama mkoa na ameenda hospital kachek pressure iko vizuri
Kapewa dawa za vitamin B complex
Lakin hali bado hali inaendelea.
Kwa mwenye uzoefu na Tatizo hili naomba msaada tafadhali.