Kusema ukweli huyo wa kwanza ujampenda bana,...., unasingizia umbali tu,..... unayempenda uwezi kufanya vituko ili muachane, ulikuwa unasogezea nae semester kipindi upo chuo. Ninakusisi usimkaribie tena utamualibia maisha. coz upendo wa kweli huna kwa uyo uliyemuita wa mbali. Na tamaa mbaya...