Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Yaani unampa mwenzio zawadi ya pupu wakati yeye ametoa elimu kwa sisi tunaofakamia kwa kuangalia umbo la mtu??? Tujifunze kuwa ARV ni silent killer. Mtu unamuona mnene ndani ya koti na VX kumbe kesho ni marehemu!!! Utasikia tu alipata pneumonia kawekewa Oxygen na siku mbili akatoweka duniani. Utakuta mama au binti ana wowowo ya kufa mtu ila ukiuliza kwa pembeni utasikia Bwana wake au mume wake alikufa miaka 2000 kwa ngoma!!!! Aise kipimo cha VCT au hospital ndiyo salama yako na yangu tu hakuna kipimo cha macho.
Cc: watu8
Last edited by a moderator: