Sometimes sio mbaya kuficha UJINGA ulionao! Yanga ndio timu ya kwanza kuadhimisha siku yake ya kuanzishwa na ili kuonesha kuwa ni timu ya Ushindani iliwaalika Asante Kotoko miongo kadhaa iliyopita.... SIJUI NANI kamuiga MWENZAKE
Re-Entry policy ambayo iliasisiwa na mheshimiwa Kikwete na kufanyiwa tafiti za kutosha kwenye nchi zinazopractice imeishia kwenye makabrasha huko wizarani, Pamoja na kwamba mabilioni ya walipa kodi yalitumika ili kufanikisha sera nini kimefanyika?
Labda ningeona unaongea unachokijua kama...
Habari wadau,
Nina shida ya kupata mashine ya kukata nyama na Samaki kwaajili ya butcher yangu. Mashine inaweza kuwa used or mpya itanifaa tu. Anayeuza tafadhali anijuze ili tufanye biashara.
Asanteni
Wazo la kuimarisha usafiri wa anga halikuwa baya sana, ila nafikiri watawala wangewekeza kwenye ndege ambazo zingerahisisha usafiri wa ndani, usafiri ambao ungewezesha accessibilty kwenye maeneo yote so hata investment ya ndege isingekuwa kwenye Ma Airbus or MaBoieng ya bei mbaya. Na kama focus...
Katika zama hizi za nunua huyu leta kwetu mhonge nafasi ya uongozi na mamilioni ya shilingi! Chaguzi ambazo Mtu kashasema nimekuteua mimi nakupa gari, nakupa mafuta na kukulipa mshahara halafu umtangaze mpinzani kashinda! Chaguzi ambazo chama tawala kinafanya kampeni kila uchwao kwa mgongo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.