Msingi WA Sheria katika uislamu ni
1. Qur an
2. Hadith
Kwahiyo kuna mambo ambayo yapo direct kwenye Qur an na mengine yanapatikana kwenye Hadith.
Pia kumbuka katika kila muktadha wa elimu kuna wabobovu wa elimu husika.Kwa mtazamo wangu si busara kuita wasomi wabobovu watoa porojo kwani katika...
JE, NINI HUKUMU KWA WANAWAKE KWENDA KUZIKA
Nimeulizwa kuhusu kujuzu au kutokujuzu kwa wanawake kusindikiza jeneza, NANUKUU:-
Alhabib naomba kuuliza. Nini hukumu ya wanawake kwenda kuzika? Asante!
JIBU
BISMILLAH
Wanawake, kimsingi, wanakatazwa kwenda kuzika, isipo kuwa ikitokea dharura...
Habari zenu wakuu!
Tunakodisha Tv na vifaa vya video production kwa ajili ya sherehe mbali mbali kama harusi,send off na nyinginezo.Tupo Ubungo Dar es Salaam.
Nyote mnakaribishwa
Kwa mawasiliano zaidi piga
0714400422
Au
0687123813
Ahsante!
Habari za weekend!
Nina kampuni yangu nimefungua tangu mwaka 2017 lakini nilishindwa kumalizia process za kupata TIN NO. na leseni ya biashara so naomba msaada kwa anayefahamu ni vitu gani vinahitajika ili kukamilisha zoezi hili?
Aina ya kampuni ni limited na tupo directors wawili ila jamaa...
Natafuta mtu wa kubadilishana nae yeye aje dar es salaam mimi niende morogoro.
Kada elimu sekondari
Nipo wilaya ya Ubungo
Kama yeye atakuwa wilaya ya mvomero itakuwa poa ndio wilaya ninayotaka.
Mawasiliano ni 0714400422
Dah!Sitasahau hadithi ya Bint chura kila jumamosi saa nane mchana,natamani wairudie niiaikie tena ilikuwa kama sio 1991 basi 1992 RTD kipindi cha mama na mwana mtangazaji nimemsahau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.