Tokez
Member
- Oct 4, 2012
- 68
- 22
Habari za weekend!
Nina kampuni yangu nimefungua tangu mwaka 2017 lakini nilishindwa kumalizia process za kupata TIN NO. na leseni ya biashara so naomba msaada kwa anayefahamu ni vitu gani vinahitajika ili kukamilisha zoezi hili?
Aina ya kampuni ni limited na tupo directors wawili ila jamaa yangu yupo mbali now so nipo mwenyewe na nataka kukamilisha usajili kwa ridhaa yake.
Pia namna ya kufungua account ya bank ni vitu gani vitahitajika niviandae ili mungu akipenda kesho nianze mchakato wa kufungua account ya kampuni?
Bank niliyokusudia kufungua ni NMB ndio naona itanirahisishia mambo yangu yote.
Natanguliza shukrani kwa msaada mtakaonipa.
Nina kampuni yangu nimefungua tangu mwaka 2017 lakini nilishindwa kumalizia process za kupata TIN NO. na leseni ya biashara so naomba msaada kwa anayefahamu ni vitu gani vinahitajika ili kukamilisha zoezi hili?
Aina ya kampuni ni limited na tupo directors wawili ila jamaa yangu yupo mbali now so nipo mwenyewe na nataka kukamilisha usajili kwa ridhaa yake.
Pia namna ya kufungua account ya bank ni vitu gani vitahitajika niviandae ili mungu akipenda kesho nianze mchakato wa kufungua account ya kampuni?
Bank niliyokusudia kufungua ni NMB ndio naona itanirahisishia mambo yangu yote.
Natanguliza shukrani kwa msaada mtakaonipa.