Yaani yaaani yaaaniiiiii..!!!!!
Mkuu umeongea pointi kama zote,
Mimi nilioa mfanyakazi akajikatia bima yake, enzi hizo hawakuangalia vyeti nikaweka mtegemezi ambaye naye sasa ana maisha yake, that's 1
Cha pili,
Mshahara unaongezeka, makato yanaongezeka, wategemezi wanaondolewa kwa umri...