Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Haaaaaa CCM ni kama jua, ccm ilikuwepo, ipo na itakuwepo. CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Haaaaaa CCM ni kama jua, ccm ilikuwepo, ipo na itakuwepo. CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Asubiri kwanza tuingie jukwaani tumrarue aone kama atapata ubungeVizuri lakini Amos Makalla kaibuka kidedea Mvomero, sijui atapata uteuzi wa waziri?
haya, amekwisha lala chali kitu gani zaidi mnataka kumfanyia wakati kipigo alicho kipata tayari kimempa fursa ya kujifundisha ?Asubiri kwanza tuingie jukwaani tumrarue aone kama atapata ubunge
Profesa Maghembe vipi kule Mwanga ?haya, amekwisha lala chali kitu gani zaidi mnataka kumfanyia wakati kipigo alicho kipata tayari kimempa fursa ya kujifundisha ?
ChaliiProfesa Maghembe vipi kule Mwanga ?
😆😆😆Chalii
Amos makala anaweza akawa na madhaifu yake lakini kiukweli yeye ni gentleman. Hebu fuatilia utendaji wake alipokuwa RC wa Kilimanjaro, utagundua kwamba yeye ni kiongozi mzuri. Hili ya kupotea katika ulingo wa kisiasa ni kwa muda kwani anaweza kubounce back. Hebu tusubiri tuone hatima yake baada ya uchaguzi mkuu wa 2020.
Ahsante
Sasa kma ahao wanachama walikuwa wanatenda makosa awaachie tu. Never! Kwa hiyo angewaachia ndio angepata ubunge au!Huyu alipokuwa RC wa Mbeya niliwahi kumuonya kwamba atumie cheo chake kutenda haki, maana ni haki pekee itakayofanya akumbukwe na kuacha alama kwenye utumishi wake lakini akanipuuza, akashirikiana na RPC Mpinga kudhulumu haki za watu kwa manufaa ya CCM, ametumika sana kukamata wanachama na viongozi wa Chadema kwa kushirikiana na Mpinga, kwa faida ya WanaJF na wengine ile hukumu ya kifungo cha Mbunge wa Mbeya Mjini iliandikwa na Amos Makalla akishirikiana na Mpinga nje ya Mahakama.
Baada ya watu wa Mbeya kumlilia Mungu wao, Amos Makalla ametoweka kwenye macho ya siasa za Tanzania. Huyu alishafika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa CCM makao makuu ambapo alikuwa Mweka hazina wa chama, akatumia hela za CCM kufadhili bendi kadhaa ikiwemo FM Academia.
Wewe Katibu Kata, sijui mwenyekiti wa Mkoa jiangalie, Mtumieni Makalla kama somo la kujifunzia.
Anayefuatia ni Chalamila.
Kashiriki na kapata nafasi ya pili. Hatuna hakika sijui jina litarudi ? lakini temchoka anaelekea kuchua record ya Mzee Msuya. Japo unanichonganishwa na Uncle Elli Mshana. Naona ali umwaga kuogopa lawama za kifamilia. Mimi nipo Kirongwe, Mwanga kijijini huku.Profesa Maghembe vipi kule Mwanga ?
Kumekucha !
Imeshakula kwake. Ndio kawaida ya kondomu.Huyu alipokuwa RC wa Mbeya niliwahi kumuonya kwamba atumie cheo chake kutenda haki, maana ni haki pekee itakayofanya akumbukwe na kuacha alama kwenye utumishi wake lakini akanipuuza, akashirikiana na RPC Mpinga kudhulumu haki za watu kwa manufaa ya CCM, ametumika sana kukamata wanachama na viongozi wa Chadema kwa kushirikiana na Mpinga, kwa faida ya WanaJF na wengine ile hukumu ya kifungo cha Mbunge wa Mbeya Mjini iliandikwa na Amos Makalla akishirikiana na Mpinga nje ya Mahakama.
Baada ya watu wa Mbeya kumlilia Mungu wao, Amos Makalla ametoweka kwenye macho ya siasa za Tanzania. Huyu alishafika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa CCM makao makuu ambapo alikuwa Mweka hazina wa chama, akatumia hela za CCM kufadhili bendi kadhaa ikiwemo FM Academia.
Wewe Katibu Kata, sijui mwenyekiti wa Mkoa jiangalie, Mtumieni Makalla kama somo la kujifunzia.
Anayefuatia ni Chalamila.
Kakatwa ?Imeshakula kwake. Ndio kawaida ya kondomu.
Ametoweka ee ?? OkHuyu alipokuwa RC wa Mbeya niliwahi kumuonya kwamba atumie cheo chake kutenda haki, maana ni haki pekee itakayofanya akumbukwe na kuacha alama kwenye utumishi wake lakini akanipuuza, akashirikiana na RPC Mpinga kudhulumu haki za watu kwa manufaa ya CCM, ametumika sana kukamata wanachama na viongozi wa Chadema kwa kushirikiana na Mpinga, kwa faida ya WanaJF na wengine ile hukumu ya kifungo cha Mbunge wa Mbeya Mjini iliandikwa na Amos Makalla akishirikiana na Mpinga nje ya Mahakama.
Baada ya watu wa Mbeya kumlilia Mungu wao, Amos Makalla ametoweka kwenye macho ya siasa za Tanzania. Huyu alishafika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa CCM makao makuu ambapo alikuwa Mweka hazina wa chama, akatumia hela za CCM kufadhili bendi kadhaa ikiwemo FM Academia.
Wewe Katibu Kata, sijui mwenyekiti wa Mkoa jiangalie, Mtumieni Makalla kama somo la kujifunzia.
Anayefuatia ni Chalamila.
WakumbesheIsije ikawa amewekwa kando kimkakati!!kumbuka hata simbachawene,mangula na sasa lugola walikaa pembeni!watarudi tu!!ccm kama haikutaki kabisa huwa inakukolimba tu lakini kama ni hazina inakuficha halafu badae unaibuka tena!!!
Amerudi sasa hapo vp!!??Huyu alipokuwa RC wa Mbeya niliwahi kumuonya kwamba atumie cheo chake kutenda haki, maana ni haki pekee itakayofanya akumbukwe na kuacha alama kwenye utumishi wake lakini akanipuuza, akashirikiana na RPC Mpinga kudhulumu haki za watu kwa manufaa ya CCM, ametumika sana kukamata wanachama na viongozi wa Chadema kwa kushirikiana na Mpinga, kwa faida ya WanaJF na wengine ile hukumu ya kifungo cha Mbunge wa Mbeya Mjini iliandikwa na Amos Makalla akishirikiana na Mpinga nje ya Mahakama.
Baada ya watu wa Mbeya kumlilia Mungu wao, Amos Makalla ametoweka kwenye macho ya siasa za Tanzania. Huyu alishafika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa CCM makao makuu ambapo alikuwa Mweka hazina wa chama, akatumia hela za CCM kufadhili bendi kadhaa ikiwemo FM Academia.
Wewe Katibu Kata, sijui mwenyekiti wa Mkoa jiangalie, Mtumieni Makalla kama somo la kujifunzia.
Anayefuatia ni Chalamila.
mbuzi tu hawa,hata sabaya atapewa shavu jingine wabaki wanalia lia.Amerudi sasa hapo vp!!??
CDM mnajifanya mpo karibu na sir Godi kumbe vijiba vyo roho tu vimewakaa