Jamani kuna mtu anaweza niambia hiyo kampuni ya Bravo Logistics inayolipa USD 10,000 kwa mwezi kwa lorry moja, wanaweza kunilipa kiasi gani kwa bajaji yangu? Yaani tuko mjini hapa hapa halafu dili zinatupita hivihivi ........
BREAKING NEWS!!!!! Rais Jakaya Mrisho Kikwete atatembelea Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, ziara yake itakua ya siku mbili halafu atarudi kwenye shughuli zake za Kila siku za kuizunguka dunia. Katika ziara hiyo atatembelea ikulu ya Dar es Salaam na kupita barabarani huku akipungia na...
Ili uisome vizuri na kuielewa taarifa hii inatakiwa kwanza, upake makeup nyingi, uvae magoldi mengi, gauni la kumeremeta, ushike mic kwa mkono wa kushoto Kama vile hutaki vile, urembue macho halafu nyuma yako wawe wababa wawili watatu wanapiga violin pamoja na kinanda. Sasa ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.