Recent content by TKO

  1. T

    Ufafanuzi wa hotuba ya "upotoshaji" ya Zitto kwa watanzania waishio Marekani

    Nahisi nimebanwa na haja kubwa. Nachukua iPad yangu Nikaisome hii taarifa chooni.
  2. T

    Ni nani Dr. William Mgimwa?

    Duh Timing hii ni Yellow card!!!
  3. T

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Hizi ngoma za TBC ni za kusafisha njia......
  4. T

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    TBC wanaonyesha nyani akila sisimizi........ Atakayeelewa na aelewe hahaha aha
  5. T

    Kamati Kuu ya CCM Yaridhia Kikwete kusuka upya Baraza lake la Mawaziri

    Hiki ni kibwagizo tu. Nyimbo aliianzishwa na Zitto bungeni last week :violin::violin::violin:
  6. T

    Kamati Kuu ya CCM Yaridhia Kikwete kusuka upya Baraza lake la Mawaziri

    :peace::peace::peace: ...............
  7. T

    Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

    Wamebana, wameachiaaaaaa..........
  8. T

    Kwanini sherehe za muungano huwa hazifanyiki Zanzibar?

    Mwaka huu sherehe zingefanyika Znz, kungekua hamna gwaride labda maandamano ya kupinga.
  9. T

    Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

    Jamani kuna mtu anaweza niambia hiyo kampuni ya Bravo Logistics inayolipa USD 10,000 kwa mwezi kwa lorry moja, wanaweza kunilipa kiasi gani kwa bajaji yangu? Yaani tuko mjini hapa hapa halafu dili zinatupita hivihivi ........
  10. T

    Rais Kikwete awasili mjini Blantyre, Malawi kushiriki mazishi ya Mutharika

    BREAKING NEWS!!!!! Rais Jakaya Mrisho Kikwete atatembelea Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, ziara yake itakua ya siku mbili halafu atarudi kwenye shughuli zake za Kila siku za kuizunguka dunia. Katika ziara hiyo atatembelea ikulu ya Dar es Salaam na kupita barabarani huku akipungia na...
  11. T

    Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

    Ili uisome vizuri na kuielewa taarifa hii inatakiwa kwanza, upake makeup nyingi, uvae magoldi mengi, gauni la kumeremeta, ushike mic kwa mkono wa kushoto Kama vile hutaki vile, urembue macho halafu nyuma yako wawe wababa wawili watatu wanapiga violin pamoja na kinanda. Sasa ndio...
  12. T

    Lusinde ajitetea, asema alipitiwa na jazba; Alaumu siasa za kampeni

    Kwanini anaomba msamaa sasa hive Baada ya matokeo kutoka. Je CCM wamgeshinda angeomba msamaha? :A S 39::A S 39::A S 39:
  13. T

    Waziri ngeleja akata viuno akiomba kura jukwaani mwanza

    Labda akiendele kukizungusha kiuno sana ataweza ku produce megawati 1...... Atakua ametusaidia sana.
Back
Top Bottom