Raisi anapokea maazimio ya Bunge la Jamhuri ya Tanzania au ya wabunge wa CCM?
Raisi anapokea maazimio ya Bunge la Jamhuri ya Tanzania au ya wabunge wa CCM?
Sio msikivu bali muogaJK ni msikivu siku zote
Sio msikivu bali muoga
Hilo ndio swali la kujiuliza.
Inamaana alikuwa haoni umuhimu wa kulivunja hilo baraza la mawaziri mpaka apate ushauri wa nape na mukama?
Kwa vile hii motion ilianzishwa na upinzani, thats why ameonelia aimalize kwa style hii.
Huyu rais ni hopeless ana mambo ya ngomani sana.
CLOUDS TV WALITUPIA MAANDISHI YAFUATAYO MUDA WA DAKIKA ISHIRINI ZILIZOPITA!!!!!
Kamati Kuu ya CCM iliyoketi leo Jijini Dar es Salaam Imeridhia Uamuzi wa Mwenyekiti wake Rais JAKAYA MRISHO KIKWETE kulivunja na kulisuka Upya BARAZA LA MAWAZIRI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Hivi jamani, cc ya ccm ndio inausika kwenye kuvunja baraza la mawaziri? Kazi ipo...