NICKSON NGELANGELA
Member
- Apr 20, 2012
- 24
- 5
Its a gud idea but kikwazo ni kwmba even huyo anayetakiwa kusema whether yes or no anategemea kauli na anayetakiwa kujadiliwa so itawezekanaje aseme yes?you see in principle spika ndo mwenye madaraka but si unajua wabongo jinsi tulivokua mabingwa wa rivasi na reverse angle?mi i think sisi ndo wenye nguvu now,ujue kuna kitu huwa kinanichanganyaga sana aisee,watanzania wote tunalalamika tunayemlalamikia exactly ni nani?